Unajuaje unae mwuliza ni he?
elimu dunia hiyo....soma vitabu kama upo serious. Maneno ya mtaani hayana ukweli wowote zaidi ya mbwambwambwanilijaribu kunywa supu ya pweza nilishindwa dahh naona ni za watu wa pwani hizo maana nilikuwa na game tight siku hiyo nikashauliwa kupasha na supu ya pweza nikachemka kabisa.
Wadau naomba mnisaidie kujua umuhimu wa kula nyama ya pweza na kunywa supu yake...
Na muhogo mbichi unasaidia nini ukiula?.
Uncooked starch (yaani miogo mibichi) is never digestible by your body....! it is as good as eating sand. Digestion of any starch starts from the mouth whereby it is mixed by Saliva (mate ya mdomoni) where it breaks down the starch.
So eating any uncooked starch is as good as eating nothing and indeed it may couse harzoud heath effects including malnutrition since you may feel like your stomach is full but in realitity its feeled with useless non nutritions food.
My advice for you is to make sure the starch you eat is well cooked and well prepared.
Wadau naomba mnisaidie kujua umuhimu wa kula nyama ya pweza na kunywa supu yake...
Na muhogo mbichi unasaidia nini ukiula?.
weeee mkuuu usisemeee mioyo ya watu hapa dar kuna wadada huwa wanauza mihogo mibichi posta kwa ajili ya kutafuna tu na wanaume ndo wanaongoza kula, nimeshuhudia kwenye foleni ya magari upande wa baharini watu wamepaki gari wanamenyewa muhogo watafune.........
Mkongoraa...
Unaijua hii kitu mkuu???
Inapatikana maeneo fulan kule Kilimanjaro
Kaka hakuna dawa yenye ladha nzuri hata kidogo utamu wa supu ya pweza nywea gizaniii. Hiyo ndiyo the big secret ya huyu mdudu
Arusha tulikuwa tunakula mkongoraa utotoni kwa imani kwamba mb** itakuwa kubwa
haha sidhani kama alikuwa na maana hiyo loh kuna zile maana za uswahilini ya kuhusu maluv davi