Eti supu ya pweza au nyama yake inasaidia nini?

nilijaribu kunywa supu ya pweza nilishindwa dahh naona ni za watu wa pwani hizo maana nilikuwa na game tight siku hiyo nikashauliwa kupasha na supu ya pweza nikachemka kabisa.
elimu dunia hiyo....soma vitabu kama upo serious. Maneno ya mtaani hayana ukweli wowote zaidi ya mbwambwambwa
 
Wadau naomba mnisaidie kujua umuhimu wa kula nyama ya pweza na kunywa supu yake...

Na muhogo mbichi unasaidia nini ukiula?.

Aisee pweza ungemuuliza Josh maana yeye anajua kazi yake! Kuhusu muhogo ni wanga n katika mambo yetu unasaidia saaaaaaana kukupa "mrusho" wa mbali.
 
Uncooked starch (yaani miogo mibichi) is never digestible by your body....! it is as good as eating sand. Digestion of any starch starts from the mouth whereby it is mixed by Saliva (mate ya mdomoni) where it breaks down the starch.

So eating any uncooked starch is as good as eating nothing and indeed it may couse harzoud heath effects including malnutrition since you may feel like your stomach is full but in realitity its feeled with useless non nutritions food.

My advice for you is to make sure the starch you eat is well cooked and well prepared.

Unamaanisha kabla hajajua kupika, binaadamu alikuwa hali?
 
weeee mkuuu usisemeee mioyo ya watu hapa dar kuna wadada huwa wanauza mihogo mibichi posta kwa ajili ya kutafuna tu na wanaume ndo wanaongoza kula, nimeshuhudia kwenye foleni ya magari upande wa baharini watu wamepaki gari wanamenyewa muhogo watafune.........

Hahaha...kazi ipo
 
nimesikia tetesi kwamba supu ya pweza inatengenezwa kwa kuchanganywa na Viagra.. sina uhakika japo inawezekana pia ili kuchochea biashara
 
Pweza ni mpango mzima. Hata kina mama wanapojifungua km hawatoki maziwa ya mtoto. Basi huwa wanapelekewa pweza na kuchemsha. Basi baada ya hapo maziwa yanatoka tu. Kwa wale watu wa pwani watakuwa wame prove ivyo vitu.
 
Back
Top Bottom