Nakusihi ata usijarbu vuta,
I remember the first time nilijarbu kuanza kwa kunusa kwa washkaji, nikiwa class five, baadae nikaamua kuvuta.
Sas hapo ndio nilijua bange si chai, kwani nilirudi nyumbani nikaingia jikon direct, nikakuta msosi nikaona niwangu wote, kucheki hamna mtu karbu...