Jaman,nyie wavulana mnachosha! Sa we ulvomwambia akuje, ukatafta hotel, ukalala nae ultaka avae jns au? Kama ulkua humuamn si ungemuona tu ukamwacha aende zake!? M nachokaaaaa! Loh!
Mmmmmh! Hapo pa kuingia had kwa baf na simu ndo pameanza kuntia mashaka, anyway endelea kumchunguza taratibu na ujarbu kuongea nae kwa upole umwelezee vile unajiskia anapokuwa hivyo
M naona very gud labda coz mi pia n mdau,mume wangu kanzd only 4 yrs bt hwa najckia raha sana nkimshka kakdev alaf namwamkia "shkamoo my king"na katabasam ka kchokoz akaa jaman inatia raha..Naye utackia "marhaba bebi"
M cion sababu ya kmlaumu uyo dada,mifumo ye2 Tanzania ndo inasababisha ugumu huo coz mtu katika hal ya Ufoo unapoamua kmpa lft lazma uwe umejiandaa kwa chchote mbelen na c ki2 chepec iko et
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.