Hawa jamaa ni wengi na bado wanazaliana kama siafu
Kisiasa inawapa advantages ya kiutawala yani wanaweza kuamua Rais awe nani
Wakiamua kuitoa CCM madarakani itakua kazi rahisi sana.
Ponapona ya CCM ni kutoruhusu upinzani utie kambi mikoa husika vinginevyo itabaki story
Siasa za Kenya huwa...
kuna uhusiano wa moja kwa moja na kuongezeka kwa mashoga na mila za pwani vigoma nankutunzana
saivi wanaenda mbali sana hadi wanashona sare kama dada zao ,huku wanacheza taarabu na kutunzana
mbagala temeke tandika ni hakufai
huu ni ujinga kumlaumu mbowe kwenye kila angle bila kua na ushahidi
mbowe alikua mwenyekiti baada
uchaguzi akashindwa akakaa pembeni
lakini watu wanambebesha lawama.
uhalisia ni kwamba hata kama mbowe angekua mstari wa mbele bado wangemsakama kwa kusema bado anatawala chama .
Baada ya Rais Samia kutangaza kuongeza mshahara kwa 35% kwa wale wenye kima cha chini ambapo hapo awali kima cha chini kilikuwa 370k
Kwa maana hiyo 370k imejump hadi 500k. ambao ndio mshahara wa walimu wengi .
Unakuta Mwalimu yupo Kwimba ndani ndani huko shule inawanafunzi 1,000+ form one...
upo sahihi pia kwenye kesi za uhalifu mfano fujo ,mauwaji mwanaume ukiwa na kitambi na unavaa suruali za cotton mara nyingi wanakua least suspects
wanaamini hakuna muhuni mwenye kitambi na kuvaa suruali za kitambaa.
ila kama ni issues za upigaji pesa ,rushwa kazi unayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.