Recent content by Strong25

  1. Strong25

    JamiiForums Tanzania Wazee kuna jamaa yangu kaanzisha biashara, kila wiki anataka nimuungishe, imekuwa kero!

    sawa inakwaza ila biashara ngumu sana kaka ushauri wangu usiache kumuungisha hata kwakiwango kidogo ila usimkasirikie kabisa kabisa
  2. Strong25

    JamiiForums Tanzania Wazee kuna jamaa yangu kaanzisha biashara, kila wiki anataka nimuungishe, imekuwa kero!

    kaka muelewe tu huyo jamaa yako - siku ukianza kufanya biashara nafkiri utamkumbuka
  3. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimekuta SMS za jirani kwenye simu ya mke wangu

    kaka huyo mkeo inaonekana yeye ndo-kampenda boda chakufanya mtafute boda kiume mchane ukweli tofaut nahivyo utakufa natai shingoni
  4. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    tena zaidi yasana
  5. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    alisema anaduka lake kabisa
  6. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    shukrani sana - nisehemu yautafutaji ila hakuna anaependa iwe hivyo
  7. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    nikweli nimefanya makosa- ila kabla yahapo ilikua tayari tushafanya biashara. alituma pesa nyingi ili nimuuzie mzigo so ilikua rahisi kumuamini
  8. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    kwanini umeacha kusoma
  9. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    ndugu yangu mungu akufanyie wepesi yasikukute
  10. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    dunia haina huruma kabisa
  11. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    mkuu mpaka sasa siku 20
  12. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    yaah kunawatu wanatuma pesa china wanaagiza bidhaa bila hata kuwaona wachina mambo yanaenda bila shida tu japo changamoto hazikosekani
  13. Strong25

    JamiiForums Tanzania Nimedhurumiwa Tsh. Milioni 2.4 na Mtu niliyekuwa nafanyanae biashara

    sms ninazo pia voice zake ninazo
Back
Top Bottom