Mreta Uzi kabla y a yote jua haya 1.huez kupinga maamz ya boss wako other wise uwe hutak kaz 2.kna ki2 kinaitwa kunyumbulika kulingana na hali 3..katib mkuu kiongoz bwana omben sefue ni mchapa kaz na muajibikaj ni was was wako 2.
Naungana na rais J PM kwa 100%.watumishi wa umma wamejisahau xana na kugeuza ofc kama vyumba vyao bnafc , na unawezaje kwenda likizo wakat wanainch wanaandamwa na matatzo ,Wazir mkuu&rais walishaxema mda wa watumish wazembe umekuisha kama VP wajipime, wajitathimin ukiona huez acha maana watu...
Ila jamii forum mnaskitisha Sana, heb mnisaidie, m nimeandka uz from no were anatoka ucngzin ananijib et upeo wang wa kufikr ni mdogo,,,, nimekusamehe bule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.