Recent content by Strong Durable

  1. S

    JamiiForums Tanzania Trump: Marekani imevishambulia vinu vya nyuklia vya Iran

    Wakubwa Wa Dunia hii wakishasema inabidi Uwe na Akili na Busara Ukijifanya Jeuri Itakula Kwako Iran Imekula Kwake Ndio Mwisho wa Enzi Yake Kusumbua Mashariki ya kati
  2. S

    JamiiForums Tanzania US kashambulia hewa Iran ilihamisha Kila kitu kwenye vinu vya nuclear vilivyopigwa

    Kila Kitu Kiko Wazi Iran hakuna Sehem Utaficha kitu Kisionekane Nchi Iko Wazi Ndio Maana Wakazi Wote Wa Tehran wameambiwa Wahame
  3. S

    JamiiForums Tanzania Trump anadai kumiliki anga la Iran, kasema hakuna nchini yenye vifaa bora vya ulinzi kama Marekani

    Marekani Akikwambia anakufata kukupiga ujue hapakaliki hapo Tafuta Sehemu Kimbia
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali ya Iran ilikuwa na malengo ya kulifuta taifa la Israel?

    Ukifatilia Mikataba ya Dunia Kuhus Silaha za Maangamizi inasema Kwamba Hakuna Nchi Yoyte Inayoruhusiwa kutengeneza Silaha hizo wala Kuzisambaza kwa nchi Nyingine Nchi zilizo Kuwa Nazo Zibaki Nazo hizo hizo Na nchi ni Chache tuu ,US,Russia, UK,France, North Korea, India,na Pakistan hizo Nchi...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali ya Iran ilikuwa na malengo ya kulifuta taifa la Israel?

    Umemjibu Vizur Kuna Watu Hawafatilii Vyombo vya Habar Duniani, Arjazera, CNN,BBC
  6. S

    JamiiForums Tanzania Marekani na mwanae israel

    Hiyo US Ulivyo Isema Utafikili Nchi yako Haiendi Kuomba Misaada huko Marekani
  7. S

    JamiiForums Tanzania Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran lafanya kikao kujadili jibu kwa Israel

    Ukijifanya Unaongea Sanaa Mossad Wanakuondoa tutaona Mengi Mwaka huu Israel kachafukwa huko
  8. S

    JamiiForums Tanzania Hofu imetanda Israel kote. Hakuna kuingia wala kutoka ikihofia kipigo cha Iran

    Unapigwa kwako alafu Unasema ntajibu kwa Wakati wake Ukitaka Kujua Kuna Watu Wamejipanga Gusa Nchi zao Mfano,UK, Germany, France, China ,US, Israel, Nato Yote, ,Korea zote Mbili , Russia, Hizo Sehem Ukigusa umegusa Moto / Iran bado Sanaa
  9. S

    JamiiForums Tanzania Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

    Israel Anakichafua mashariki Ya Kati hapoi
  10. S

    JamiiForums Tanzania Taifa jipya la Congo Mashariki kutangazwa hivi karibuni na Rais atakuwa Joseph Kabila. Tuna furaha mashabiki wa M23 kwa maendeleo haya

    Uongozi Au uraisi ni Raha Sanaa kwa Africa,Mtu umeshakuwa Rais miaka zaid ya 20 lakini bado tuu anautaka duuh
  11. S

    JamiiForums Tanzania Waarabu wameamua kumwabudu Trump

    Hawa ndio wale bikra 72
  12. S

    JamiiForums Tanzania Sultan Makenga, kiongozi wa M23, alikuwa anatafutwa Congo. Kisha akaita kikao kuwaamuru wanajeshi wa SADC kuondoka DRC

    Wewe Umeona Wapi una Honga ili Upate Nafasi ya kwenda Vitani Kuna Vitu Vinatia kinyaa ndio tulipofikia huko
  13. S

    JamiiForums Tanzania Sultan Makenga, kiongozi wa M23, alikuwa anatafutwa Congo. Kisha akaita kikao kuwaamuru wanajeshi wa SADC kuondoka DRC

    haiwezekani Uka Honga Wakubwa Ili Upelekwe Vitani Drc alafu Utegemee Upate Ushindi yanini Ujifia nchi za Watu Ukaacha Familia yako Inateseka
  14. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamvi la wanawake: Wewe raundi ngapi akienda zinaanza kuwa kero?

    Njoo Vijijini huku mzee vitu natural safi Vinakula dona, kuku wa kienyeji, maboga,ukipewa kazi unatakiwa ufanye kazi sio unashika shika alf unaacha wanapigwa Vibao vya Uso na Dalasa unapewa Mjin huko Joto linawatesa Usiwalaumu
  15. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamvi la wanawake: Wewe raundi ngapi akienda zinaanza kuwa kero?

    Asaidiwe huyo vijana wanapasha msuli
Back
Top Bottom