Recent content by Strong and Fearless

  1. Strong and Fearless

    Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Ata mm naona Sasa hivi maisha ni simple sana kumhudumia mwanaume Kwa kila kitu
  2. Strong and Fearless

    Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Kama yako tu Wanaume tafuteni hela Ndio heshima mtapata
  3. Strong and Fearless

    Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Kila mtu atafute hela kuepuka aibu Uhalisia hauwezi kubadilika tuendelee kutafuta hela
  4. Strong and Fearless

    Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Mtu mzima anejitambua Kwann utoke out Aya Kama umeitwa na unajua huna hata mia lazima utapata aibu na fedheha tu
  5. Strong and Fearless

    Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Nitumie namba yako nikupigie video call unione
  6. Strong and Fearless

    Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Mm najitegemea nina pesa zangu sina shida na pesa Za mwnaume na siwezi kumsaidia pesa mwnaume
  7. Strong and Fearless

    Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Kwann mtu uje na ujue huna hela hata Kama umeitwa
  8. Strong and Fearless

    Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Kwann mtu usijiongeze uchangie Basi hata kidogo
  9. Strong and Fearless

    Mwanaume kulipiwa kila kitu na mwanamke ni aibu

    Jana nimetoka out with my friend wa kike, we ordered drinks and food and tulikubaliana tutashare bills, Sasa suddenly my friend wa kike akasema kuna rafiki yangu wa kiume nilisoma Nae anakuja, nikasema okay , kufika alikua ni mwnaume. Basi tumekaa pale akaorder heinken 7 na sisi we were having...
  10. Strong and Fearless

    Nime share a hotel room na rafiki yangu wa kiume

    Kuna my friend wa kazini mwanaume tulikua na training mkoani so akasema tupunguze gharama tu share hotel room, nikasema it’s fine, Basi kufika uko hotelini akaanza mambo ya ajabu akaenda kuoga, katoka hajavaa nguo ikabidi mimi nijifanye nipo busy naangalia movie, Aya akapanda kitandani kulala...
  11. Strong and Fearless

    Nimeombwa namba na sijatafutwa hadi mida hii

    Jana nimekutana na uyo mwanaume kwenye mishe za mjini, nikapenda the way he is , kwa bahati Nzuri akaniuliza my name na akaomba na my number. Sasa cha kushangaza mpaka saa hizi hajanitafuta Shida ni nini?
Back
Top Bottom