Mimi mwenyewe nilijiuliza nauli ya kwenda Arusha na kurudi elf 50 hapo hujala hujalala guest nafasi za ajira mbili mko 80 si nikaachana na biashara hiyo niliona ni hasara sana kwa mtu alie na wazazi masikini haswa wakulima, suala hili lingefanyiwa research namna ya kuwa na ukweli kwa msaili na...
Unatetea wanyonge walioko vijijini wasio na nauli za nenda rudi za interview nauli tu ya kuungaunga akienda mara moja anaomba Mungu apite maana ikija interview nyingine pengine hatokuwa na nauli ya kwenda tena. Umefanya vyema kukumbushia.
Mimi mwenyewe niliomba mdas na LGA's lakn mpaka leo haku a cha interview, kumbe tuko wengi, labda watatusikia
liomba mdas na LGA's kila nikiomba angalia mtandaoni sioni kuitwa kwa interview wala nini pi
Mimi
Mimi ninavyoona wangefanya usaili kwa mfumo wa FIFO kuliko kumix waliohitimu mwaka huu ns waliohitimu miaka kumi au zaidi wanaaminije kuwa wote watakuwa na kumbukumbu sawa japokuea wote wanna kiwango sawa cha elimu mtu yuko kijijini anajishughulisha na kilimo takribani miaka kumi atakuwa...
Habari, Kuna tangazo lilitoka la MDA's na LGA's muda kama mwezi na kitu hv nami niliomba lakini mpaka leo sijaona tangazo la kuita kwenye usaili toka PSRS. Je Kuna mtu aliona tangazo la usaili juu ya tangazo hilo au ana maelezo zaidi tafadhali.?
Habarini wadau, nimeshauriwa through media hii nimtafute Poshocity ili aweze kunipa ushauri juu ya suala langu la kiserikali kulingana na yeye kuwa na uzoefu/ kupitia changamoto kama nilizopitia. Nimemtafuta kupitia njia hii sijapata mawasiliano yake. Tafadhali sana naomba mnisaidie kama Kuna...
Nisaidie Mimi kwa ushauri Nina barua toka kwa katibu mkuu Utumishi baada ya kunipa kibali katibu mkuu kiongozi cha kuajiriwa nimeambiwa na katibu mkuu Utumishi niombe sekretarieti ya ajira au mamlaka yoyote inayojihusisha na ajira serikalini nipangiwe kituo cha kazi je Utumishi watafahamu vipi...
Nisaidie Mimi kwa ushauri Nina barua toka kwa katibu mkuu Utumishi baada ya kunipa kibali katibu mkuu kiongozi cha kuajiriwa nimeambiwa niombe sekretarieti ya ajira nipangiwe kituo cha kazi je Utumishi watafahamu vipi nimeomba kazi fulani sekretarieti ya ajira. Namba yangu ya Whatsapp 0624162318.
Nisaidie Mimi kwa ushauri Nina barua toka kwa katibu mkuu Utumishi baada ya kunipa kibali katibu mkuu kiongozi cha kuajiriwa nimeambiwa niombe sekretarieti ya ajira nipangiwe kituo cha kazi je Utumishi watafahamu vipi nimeomba kazi fulani sekretarieti ya ajira? Kwa the shu yako inategemea uko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.