Recent content by Street Hustler

  1. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Tangazo kwa wanaohitaji visimbuzi vya Canal+ Sports

    Nipe hicho king'amuz
  2. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta kuanzia Aprili 1, 2026: Petroli Dar imefikia TZS 3,820; Kagera ikigonga TZS 4,070. Dizeli ipo kati ya TZS 3,806 - 4,078

    Sasahv watajua kuwa ule ni ujinga na uhauni walikuwa wanafanya
  3. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta kuanzia Aprili 1, 2026: Petroli Dar imefikia TZS 3,820; Kagera ikigonga TZS 4,070. Dizeli ipo kati ya TZS 3,806 - 4,078

    Kama alialika watu wamchangie na wakachanga unategemea Nini? Mie naona effects za wale jamaa ndio zinaanza kuonekana the next 2. Umeme kukatika hovyo na kupanda 3. Gas kupanda japo tunayohapahapa nchini 4. Maji kuwa n shida hasa kwenye miji mikubwa Hapo Bei za chakula na usafirishaj...
  4. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta kuanzia Aprili 1, 2026: Petroli Dar imefikia TZS 3,820; Kagera ikigonga TZS 4,070. Dizeli ipo kati ya TZS 3,806 - 4,078

    Hyo n nature ya biashara ndio mana ukiwa kiongozi hakikisha usifanye mistake kwenye jambo Moja ambalo litagharimu mambo yote muhimu yawe vibaya. Hapa ndio umuhimu wa kura Yako ndio unaonekana
  5. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Rasmi mafuta yamepanda hadi sh 3800

    Kama Rais anatangaza mafuta yatapanda Bei ikiwa hata vita Iran haina 10days vipi ikifika 30days? Uzuri mambo kama haya yanaenda kuwaunganisha pamoja watanzania. Nauli daladala kituo had kituo inaenda kuwa 1,000/= mpaka 1,200/= Nauli mwanza - dar kawaida 100,000/= Nauli Dar - Arusha 60,000/=...
  6. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta kuanzia Aprili 1, 2026: Petroli Dar imefikia TZS 3,820; Kagera ikigonga TZS 4,070. Dizeli ipo kati ya TZS 3,806 - 4,078

    Kama Rais anatangaza mafuta yatapanda Bei ikiwa hata vita Iran haina 10days vipi ikifika 30days? Uzuri mambo kama haya yanaenda kuwaunganisha pamoja watanzania. Nauli daladala kituo had kituo inaenda kuwa 1,000/= mpaka 1,200/= Nauli mwanza - dar kawaida 100,000/= Nauli Dar - Arusha 60,000/=...
  7. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Jenista Joakim Mhagama

    Mtoa mada kaanza na majina uliyoyasema tunaendelea kuunganisha maneno
  8. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Jenista Joakim Mhagama

    Kamtandao kumbe
  9. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Jenista Joakim Mhagama

    Kumekucha
  10. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz: Mtandao ni kitu cha kawaida kwenye uchaguzi

    Kitu ambacho CHADEMA hawaliangalii kwa umakini ni swala la mtandao na mtandao sio watu pekee Bali ni mjumuiko wa taasisi fulani mfano 1. Media Hapa lazima muwe na vyombo vya habari vya kwenu vyenye nguvu vinavyoweza kufikisha ujumbe wenu kwa wakati na ufasha 2. Watu wenye ushawishi na nguvu...
  11. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huyu nae ni miongoni mwa kundi la wanamtandao hatari

    Unakumbuka Njanuary alivyopigwa chini uwazir wa mazingira baadae kidogo alianza kujisifu kuwa bado anawatu jumba kubwa la magogoni na bado akasema huyo jamaa n jamaa yake hvyo bado anapata na anauwezo wa kupata taarifa muhimu jengoni, basi huyu ndie huyo mtu. Ndiomana wanampigia promo apate...
  12. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Aren't: Nchimbi be careful

    Kama hamjui huyo jamaa n mwana wa Wanamtandao ndio anaandaliwa kama itatokea bahati mbaya basi yeye ndie aje kuwa kifupi Wanamtandao wanaongoza 5-0 mpaka Sasa hv sub uliopo nje ni Moja tuu na inaweza kufanya comeback ya maana ni wewe tuu mtanzania.
  13. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete akizungumzia mtandao

    Mak Y embe baada ya ripot ya rich of monduli Low of asa baada kuuacha uwazir Men in mbe baada kuvuma zile sauti na kina jamaa wa mtama na makamu mwenyekit mstaafu wa chama List n ndefu sana kama utaunganisha dot kwa haya yanayoendelea Leo. Wanasema kuiba sio kubaya basi hzo pesa zije kwenye...
  14. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Picha: Siku Magufuli alivyozindua kiwanda cha Rostam Morogoro

    Nafkir ukirudia kusoma utaelewa ninachomaanisha narudua baada ya kuona Pinga Pinga zimekuwa nyingi na hazina maana hata kwenye Yale ya msingi ndio busara ya Dola ilibidi itumike. Nukuu/kumbuka maneno ya heche makamu mwenyekit CHADEMA kwenye Moja ya kesi ya lisu au CHADEMA wakati imeahiridhwa...
  15. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete akizungumzia mtandao

    Wajinga ndio wanagombana rohoni ila wenye akili wanagombana kwenye maslai
Back
Top Bottom