Kama alialika watu wamchangie na wakachanga unategemea Nini?
Mie naona effects za wale jamaa ndio zinaanza kuonekana the next 2. Umeme kukatika hovyo na kupanda
3. Gas kupanda japo tunayohapahapa nchini
4. Maji kuwa n shida hasa kwenye miji mikubwa
Hapo Bei za chakula na usafirishaj...
Hyo n nature ya biashara ndio mana ukiwa kiongozi hakikisha usifanye mistake kwenye jambo Moja ambalo litagharimu mambo yote muhimu yawe vibaya.
Hapa ndio umuhimu wa kura Yako ndio unaonekana
Kama Rais anatangaza mafuta yatapanda Bei ikiwa hata vita Iran haina 10days vipi ikifika 30days?
Uzuri mambo kama haya yanaenda kuwaunganisha pamoja watanzania.
Nauli daladala kituo had kituo inaenda kuwa 1,000/= mpaka 1,200/=
Nauli mwanza - dar kawaida 100,000/=
Nauli Dar - Arusha 60,000/=...
Kama Rais anatangaza mafuta yatapanda Bei ikiwa hata vita Iran haina 10days vipi ikifika 30days?
Uzuri mambo kama haya yanaenda kuwaunganisha pamoja watanzania.
Nauli daladala kituo had kituo inaenda kuwa 1,000/= mpaka 1,200/=
Nauli mwanza - dar kawaida 100,000/=
Nauli Dar - Arusha 60,000/=...
Kitu ambacho CHADEMA hawaliangalii kwa umakini ni swala la mtandao na mtandao sio watu pekee Bali ni mjumuiko wa taasisi fulani mfano
1. Media
Hapa lazima muwe na vyombo vya habari vya kwenu vyenye nguvu vinavyoweza kufikisha ujumbe wenu kwa wakati na ufasha
2. Watu wenye ushawishi na nguvu...
Unakumbuka Njanuary alivyopigwa chini uwazir wa mazingira baadae kidogo alianza kujisifu kuwa bado anawatu jumba kubwa la magogoni na bado akasema huyo jamaa n jamaa yake hvyo bado anapata na anauwezo wa kupata taarifa muhimu jengoni, basi huyu ndie huyo mtu.
Ndiomana wanampigia promo apate...
Kama hamjui huyo jamaa n mwana wa Wanamtandao ndio anaandaliwa kama itatokea bahati mbaya basi yeye ndie aje kuwa kifupi Wanamtandao wanaongoza 5-0 mpaka Sasa hv sub uliopo nje ni Moja tuu na inaweza kufanya comeback ya maana ni wewe tuu mtanzania.
Mak Y embe baada ya ripot ya rich of monduli
Low of asa baada kuuacha uwazir
Men in mbe baada kuvuma zile sauti na kina jamaa wa mtama na makamu mwenyekit mstaafu wa chama
List n ndefu sana kama utaunganisha dot kwa haya yanayoendelea Leo.
Wanasema kuiba sio kubaya basi hzo pesa zije kwenye...
Nafkir ukirudia kusoma utaelewa ninachomaanisha narudua baada ya kuona Pinga Pinga zimekuwa nyingi na hazina maana hata kwenye Yale ya msingi ndio busara ya Dola ilibidi itumike.
Nukuu/kumbuka maneno ya heche makamu mwenyekit CHADEMA kwenye Moja ya kesi ya lisu au CHADEMA wakati imeahiridhwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.