Viwanja vimeisha tar 3 saa tatu asubuh hyo n kauli kutoka kwa afizaa ardhi pale jengo la mkuu wa wilaya Arusha kote juu na chini
Swali inawezekanaje mtu alipie 25% bila kujua ukubwa wa eneo analotaka?
White elephant project hii itakuwa kama Ile ya uwanja wa mpira wanunuzi n walewale alafu...
No debt maana hudaiwi hvyo unaweza endelea na hatua inayofuata baada ya kuchagua kiwanja wanakupa kiasi ambacho inatakiwa kulipwa na control namba yake kama hutolipa utakuwa unaona den kwenye profile yako
Kifupi naskia ni sold out chap kwa haraka.
Sasa najiuliza Jana ndio fomu ziliaza kutoka mwisho baada ya 14days unalipaje 25% bila kujua eneo ni kubwa kias gan serikali ilileta tausi Ili kuraisisha na kumakinisha malipo Sasa kwann wizara wameiataa tausi.
Eneo la mradi linauzwa ghali kuliko...
Kama alialika watu wamchangie na wakachanga unategemea Nini?
Mie naona effects za wale jamaa ndio zinaanza kuonekana the next 2. Umeme kukatika hovyo na kupanda
3. Gas kupanda japo tunayohapahapa nchini
4. Maji kuwa n shida hasa kwenye miji mikubwa
Hapo Bei za chakula na usafirishaj...
Hyo n nature ya biashara ndio mana ukiwa kiongozi hakikisha usifanye mistake kwenye jambo Moja ambalo litagharimu mambo yote muhimu yawe vibaya.
Hapa ndio umuhimu wa kura Yako ndio unaonekana
Kama Rais anatangaza mafuta yatapanda Bei ikiwa hata vita Iran haina 10days vipi ikifika 30days?
Uzuri mambo kama haya yanaenda kuwaunganisha pamoja watanzania.
Nauli daladala kituo had kituo inaenda kuwa 1,000/= mpaka 1,200/=
Nauli mwanza - dar kawaida 100,000/=
Nauli Dar - Arusha 60,000/=...
Kama Rais anatangaza mafuta yatapanda Bei ikiwa hata vita Iran haina 10days vipi ikifika 30days?
Uzuri mambo kama haya yanaenda kuwaunganisha pamoja watanzania.
Nauli daladala kituo had kituo inaenda kuwa 1,000/= mpaka 1,200/=
Nauli mwanza - dar kawaida 100,000/=
Nauli Dar - Arusha 60,000/=...
Kitu ambacho CHADEMA hawaliangalii kwa umakini ni swala la mtandao na mtandao sio watu pekee Bali ni mjumuiko wa taasisi fulani mfano
1. Media
Hapa lazima muwe na vyombo vya habari vya kwenu vyenye nguvu vinavyoweza kufikisha ujumbe wenu kwa wakati na ufasha
2. Watu wenye ushawishi na nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.