Nimeota ndoto nipo napita mahali naona gari zenye rangi ya kijani zimepaki lakini ghafla nilitazama juu nikaona ndege wengi sana wa angani wakiwa wanazunguka juu ya yale magari
Hii ndoto unaweza kuwa inaashiria Nini.
Kwa kumbukumbu ni kama nilikuwa naziona gari za chama tawala CCM naziona gari...
Kuna Malaika walipokuwa wakitumwa duniani walikuwa wakitamani Wanawake wazuri hivyo wakaanza kujibadilisha kuvaa miili ya kibinadam na kuzaa na binadamu ndio kikatokea hicho kizazi Cha wanefili
Baraka ambazo Mungu alimbariki Isaka ni sababu ya agano aliloliweka na baba yake ibrahimu sisi wakristo agano letu ni damu Yesu uzao wa ibrahimu lakini nikuulize swali Kuna agano linalofanyika bila kutoa sadaka?
Yani unaweza kwenda kanisani ukaomba kubarikiwa bila kutoa sadaka?
Jibu hili...
Habari zenu wapendwa
Tukisoma kitabu Cha mwanzo biblia inatuambia Isaka akiwa katika nchi ya wafilisti gerari huko alipanda mbegu kila kilo moja ya mbegu aliyoipanda alipata kilo mia za mavuno
Biblia inamzungumzia Isaka ndiye Aliyestawi zaidi katika nchi Ile kuliko wote
Mwanzo 26:12
Isaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.