Recent content by STONES 12

  1. S

    Wahitimu wengi wasio na ajira hawapo serious kwenye shughuli zao, akili huwaza ajira, wakifika 30s hakuna walichofanya, maisha huwacharaza kikatili

    Bila Yesu ni kazi bure vijana wameamua kuacha kwenda kanisani kuabudu na kushinda club kucheza amapiano
  2. S

    Hii ndoto ina maana gani?

    Hapana hii ndoto nahisi Kuna jambo
  3. S

    Hii ndoto ina maana gani?

    Kumbukumbu ni kama gari za chama Cha ccm
  4. S

    Hii ndoto ina maana gani?

    Nimeota ndoto nipo napita mahali naona gari zenye rangi ya kijani zimepaki lakini ghafla nilitazama juu nikaona ndege wengi sana wa angani wakiwa wanazunguka juu ya yale magari Hii ndoto unaweza kuwa inaashiria Nini. Kwa kumbukumbu ni kama nilikuwa naziona gari za chama tawala CCM naziona gari...
  5. S

    Robert Kiyosaki wa Rich Dad, Poor Dad ni tapeli?

    Utapeli upo wapi hapo hicho kitabu kimetengeneza matajiri wengi sana
  6. S

    Ukosefu wa ajira kwa vijana, kutasababisha ongezeko kubwa la uhalifu

    Kila bidhaa kwa sasa ni made in China tatizo la ajira litakuwepo sana tu miaka ijayo
  7. S

    Kwanini Biblia ilituficha kuhusu uzao wa majitu/Wanefili?

    Biblia hii tunayotumia imejaribu kugusia sehemu ndogo sana kuhusu wanefili
  8. S

    Kwanini Biblia ilituficha kuhusu uzao wa majitu/Wanefili?

    2 Petro 2:4 Kwa maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika vifungo vya giza, walindwe hata ije hukumu;
  9. S

    Kwanini Biblia ilituficha kuhusu uzao wa majitu/Wanefili?

    Kama biblia kama ilivyoandikwa mwisho hao Malaika Mungu aliwatupa kuzimu
  10. S

    Kwanini Biblia ilituficha kuhusu uzao wa majitu/Wanefili?

    Kuna Malaika walipokuwa wakitumwa duniani walikuwa wakitamani Wanawake wazuri hivyo wakaanza kujibadilisha kuvaa miili ya kibinadam na kuzaa na binadamu ndio kikatokea hicho kizazi Cha wanefili
  11. S

    Je,Una Mapengo kinywani na hujui wapi utapata Suluhisho la kudumu !?

    Hilo jino unaliweka wewe daktar Kwenye kunywa na mtu?
  12. S

    Isaka alitajirika ndani ya mwaka mmoja jifunze nini alifanya

    Baraka ambazo Mungu alimbariki Isaka ni sababu ya agano aliloliweka na baba yake ibrahimu sisi wakristo agano letu ni damu Yesu uzao wa ibrahimu lakini nikuulize swali Kuna agano linalofanyika bila kutoa sadaka? Yani unaweza kwenda kanisani ukaomba kubarikiwa bila kutoa sadaka? Jibu hili...
  13. S

    Isaka alitajirika ndani ya mwaka mmoja jifunze nini alifanya

    Mungu ajaleta mtu kuwa masikini hii dunia Yeremia 1:5
  14. S

    Isaka alitajirika ndani ya mwaka mmoja jifunze nini alifanya

    Kasome mwanzo 26 yote Nini kilitokea utaona ilivyotokea njaa lakini Mungu alimpa maelekezo Isaka asiende misri abaki pale kwa wafilisti
  15. S

    Isaka alitajirika ndani ya mwaka mmoja jifunze nini alifanya

    Habari zenu wapendwa Tukisoma kitabu Cha mwanzo biblia inatuambia Isaka akiwa katika nchi ya wafilisti gerari huko alipanda mbegu kila kilo moja ya mbegu aliyoipanda alipata kilo mia za mavuno Biblia inamzungumzia Isaka ndiye Aliyestawi zaidi katika nchi Ile kuliko wote Mwanzo 26:12 Isaka...
Back
Top Bottom