Recent content by STILL BELIEVE

  1. S

    Inasikitisha sana, kuna mtu ameomba kazi ya trainee akiwa na miaka 35

    Wewe age is just a number..........Kuna watu tuna miaka 37 lakini ukituona kama tuna miaka 20.Then haya ni maisha jua kuwa kila mtu Mungu anambariki kwa namna yake na kwa muda wake.Mfano Daudi Mungu alimfanya mfalme wa Israel wakati akiwa tu kijana mdogo na Mungu huyohuyo alimpa Sarah mtoto...
  2. S

    Kuna anayefahamu uhalali wa Job Junction?

    Habari wana JamiiForums, Kuna mtu anifahamu hio kampuni "JOB JUNCTION"? Niliona wametuma kazi nikaaply, kufika wananiambia wao ni recruitment agency kazi yao ni kuwaunganisha wanaotafuta kazi na waajiri then ukipata kazi unawapa 30% ya mshahara wa kwanza. Cha kushangaza et wanasema kuna...
  3. S

    Nimehitimu diploma ya utunzaji wa kumbukumbu ila kwa sasa sina kazi ila nipo tayari kufanya kazi yoyote

    Mi kazi yangu ya pili nilipata humuhumu jamii forum.Kuna mtu alipost kuna kampuni ilikua inatafuta mhasibu msaidizi aliweka tu namba. Nikaipiga ile namba nikapewa maelekezo kampuni ilipo nikaenda na vyeti vyangu nikafanyiwa interview nikapata kazi.
  4. S

    NSSF na fao la kujitoa

    Habari wakuu Naomba msaada mwenye kujua kama fao la kujitoa nssf lipo au ndo mpaka unitimize miaka 55.... Mtaani kugumu kama lipo tukachukue hizo hela tufanye hata biashara.
  5. S

    Assistant Accountant: TRA interview

    Habari za mchana wanajamvi.Vp paper mmeionaje wakuu?!!
  6. S

    Natafuta Kazi

    Asante.Nashkuru
  7. S

    Natafuta Kazi

    Habari wanajamii forum.Nimekuja jamvini natafuta kazi.naomba msaada kwa mtu yeyote ambae anafahamu sehemu ambapo kuna kazi maybe tupeane michongo..mana nimetuma application hadi nimechoka Profession: Mhasibu Level of Education: Advanced diploma in accountancy Nilikua muajiriwa kwenye kampuni...
  8. S

    Muda wa kukaa na kampuni kabla hujapewa likizo ya uzazi

    Thanx fair Attorney now nina amani ya moyo and will work really hard now,mana nlikua na mawazo nlijua had mwaka ndo unaweza kupewa.
  9. S

    Muda wa kukaa na kampuni kabla hujapewa likizo ya uzazi

    Wanajamii I hope mko poa, kwanza kabisa ningependa kuchukua fursa hii kutoa shukrani zangu kwa JAMII FORUM,jamani niliona tangazo la kazi humu kama masihara nikaaply nikapata.Thanks sana kwa hiki KIJIWE.Pili hapa nna mwezi kwenye hii kampuni nimejigundua ni mjamzito.So wanaJAMII swal langu ni...
Back
Top Bottom