Mleta mada akili zako zipo karne ya A.D na ufahamu wako ndio upo karne hii sasa lazma uchekeshe walionuna kwa kuwaza mambo ya kikoloni na kisultani kua hata kujishonea nguo uvae wewe mtumwa ni kosa.
Kaoge ulale huko utupishe tunaojielewa katika Taifa letu
Wewe mwenye IQ ya bata huku jamii forum alokufungulia account nadhani hakukujua kua. Huna IQ ya mwanadamu
Ulichokiandika ni ----- matupu pole kwa waliokuzaa
Wewe mleta mada ni ---- dunia nzima thibitisha kama hizo nguo ni LOWASSA ameshona Hovyoooo lione kwanza sura kama store ya mkaa
Watu mmezidi sasa hapo imeandikwa team lowassa watu wamejishonea kwa mapenzi yao
Mitanzania mingine sijui ilitanguliza makalio wakati inazaliwa
Katibiwe minyoo huko
Hivi kwanini huwa humalizagi dozi za uchizi? U nadhani bila kumalizia dozi kichaa kitakupona?
Ona sasa unaongea mambo ambayo hata hayapo mbaya zaidi huna hata elimu angalau kichaa ningekua balanced
Go to school loosed
ENL the President 2015
Huyu tpaul
Katumwa na ibilisi amchafue LOWASSA ambapo hawajui kua Mungu ndie amemchagua kuliongoza Taifa La Tanzania
Sasa wewe tpaul nakutuma kamwambie huyo shetani unaemwabudu kua EDWARD LOWASSA ni wa Mungu na ni wa watanzania.
na hii ndio safari ya matumaini iliowekwa wakfu na Mungu mwenyewe
Siku zote maneno ya laana juu ya asiekua ma hatua Mungu huyageuza na kua Baraka
LOWASSA ALIANZA NA MUNGU NA ANAMALIZA NA MINGU
na hii ndio safari ya matumaini
LOWASSA ndio Rais wa Tanzania huyu huyu msiemoenda ndio Rais.
jaura
Uongozi ni karma
LOWASSA has been born to be a leader
Mtaongea maneno yote lakini He is a true leader
Suala La afya mgogoro ulimpima lini na wapi
Lete vithibitisho kutoka huko ujerumani unaposema anatibiwa
Unasema lowassa a nanunua makundi basi tunaomba utuambie ameyanunua kwa...
mkerewe
Inaelekea wewe ndio msaidizi wa Mungu maana una uhakika kua Mungu hayupo pamoja na Edo
Mnafki mkubwa wewe unamchukia mtu mpaka unakufuru Mungu unadhani Mungu ni mjomba wako watu wengine sijui ubongo wenu una funza?
Kusoma hujui na picha nayo huoni? Hao walio pamoja na Mungu mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.