TCU wameanzisha utaratibu mpya wa kutoza ada kwa ajili ya maombi ya uhamisho kutoka chuo kimoja kwenda kingine. Hoja yangu ni hii: Inakuwaje ninyi tcu badala ya kuhudumia wanafunz mnaigeuza tume kuwa ya kibiashara na kuwatwisha wazazi/walez mizigo ya ada isiyo na msingi? U~app fee ilikuwa 30,000...
TCU wameanzisha utaratibu mpya wa kutoza ada kwa ajili ya maombi ya uhamisho kutoka chuo kimoja kwenda kingine. Hoja yangu ni hii: Inakuwaje ninyi tcu badala ya kuhudumia wanafunz mnaigeuza tume kuwa ya kibiashara na kuwatwisha wazazi/walez mizigo ya ada isiyo na msingi? U~app fee ilikuwa 30,000...
TCU wameanzisha utaratibu mpya wa kutoza ada kwa ajili ya maombi ya uhamisho kutoka chuo kimoja kwenda kingine. Hoja yangu ni hii: Inakuwaje ninyi tcu badala ya kuhudumia wanafunz mnaigeuza tume kuwa ya kibiashara na kuwatwisha wazazi/walez mizigo ya ada isiyo na msingi? U~app fee ilikuwa 30,000...
Mkuu, yaan hao jamaa hata hawatolei maelezo fees zao za kiboya wanazozianzisha, kaz yao ni kuzipa jina tu lakin wala hawahangaikumu kuzitolea ufafanuzi
Ndugu wanaJf, kwa utanguliz tu ni kwamba TCU wameanzisha utaratibu mpya wa kutoza ada kwa ajili ya maombi ya uhamisho kutoka chuo kimoja kwenda kingine. Hoja yangu ni hii: Inakuwaje ninyi tcu badala ya kuhudumia wanafunz mnaigeuza tume kuwa ya kibiashara na kuwatwisha wazazi/walez mizigo ya ada...
Mkuu acha kurusha roho za watu, hiyo academic year mbona ni ya mwaka jana, au hata wewe huelewi? Aliyepewa huo mkopo mwezi wa kumi anatarajia kuingia second year!
Mkuu, hiyo kitu sio propaganda, ni issue serious, na utaratibu uliotimiwa na TCU ni kuwapa order wakuu wa vyuo kuwaandikia wanafunz wao barua kuwataarifu suala hilo, usione jina la prof hapo ukafikir ni prof from TCU.
Kwan lazima uingie kwny jukwaa hili la edu, we ukiona unaboreka ingia hata kwny page ya udaku huko mc2letee mambo ya kiboya humu,,,ndo maana ikaitwa jukuwaa la elimu
Na usijione wewe pekee ndo umesoma kuliko hao form 6 unaowa-diss, wapo kibao tena isitoshe hata elimu wanakuzid lakin wamekaa...
Hongera sana kaka kwa kazi njema unayoifanya, naamin hiyo yote ni kutokana na hustle zako maana najua elimu ya class huwa ni theory kwa asilimia nying, kujituma kama hivyo kuna develop skills za kutosha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.