Kwa dalili hizi naona Rais Magufuli hatosimama maovu yakitawala, ubinafsi,udugu na ukabila hatovumilia kamwe nadhani haya yote aliyaona na alishindwa kunena mbele ya watanzania, nahsi aliumia sana ndani ya moyo wake lakini hakuweza maana angethubutu basi hawa wabaya wangetumia kila waliwezalo...
I like the way he want to send a message! To understand this article someone need to settle down and crack his/her brain,, thanks for the stylish article
Mazezeta sio watz wewe na Ukawa ndo Mazezeta maana hamjui kufanya tallying kitu ambacho ni simple badala yake mnaleta mamluki kutoka nje, hv kweli ninyi mngeweza kutatua tatizo la ajira endapo mngepewa ridhaa ya kuongoza nchi? Wengi wa Ukawa hawana uwezo wa kufikili maana imejionesha wazi kuwa...
Huku jf kuna watu walioathilika na siasa hivyo basi watu Hawa hata waelimishwe vp hawezi kukubaliana na elimu hiyo, wamesha ambiwa hii inshu si ya mambo ya siasa ni technical issues so msihusishe siasa Lakini mtu anakomaa na uzushi ule ule utazani kupe. Haya mtu anasema basi ziendazo kasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.