Recent content by Steven kiss

  1. Steven kiss

    SoC01 It was Jack they spoke to not you, and if you are Jack, change your name

    great job an sema umeiandika kwa kingereza sisi watanzania ni wavvu kweny english
  2. Steven kiss

    Kwanini maendeleo ndani ya Tanzania ni kama ndoto ya mchana?

    ooh hey pitia vizur ujumbe and tulete maendeleo kwa nchi yetu hii nzuri
  3. Steven kiss

    Kwanini maendeleo ndani ya Tanzania ni kama ndoto ya mchana?

    1.Tz ilipata uhuru mwaka 1961 ina miaka 54 tangu ipate uhuru ikiwa ni ya kwanza Afrika Mashariki. 2.Tz Kwa miaka 38 imeongozwa na CCM peke yake ambayo ni zao la TANU na ASP. 3.Tz ni nchi ambayo haijawahi kupata majanga makubwa kama matetemeko ya ardhi, magonjwa Ya mlipuko kama ebola...
  4. Steven kiss

    KATIBA MPYA KWA MAENDELEO YA TANZANIA

    KWANINI KATIBA MPYA NDANI YA TANZANIA NI MUHIMU? Tanzania ni nchi ya demokrasia na inaongozwa kwa kufuata sheria na muongozo wa katiba iliyopo ya mwaka 1977 .kwa mda mrefu wananchi wa Tanzania wamekuwa kweny madai ya kupambania upatikanaji wa katiba mpya KATIBA ZA...
Back
Top Bottom