Wewe ndio huijui AVN wataalam wanaijua acha kudandia mambo kama hujaelewa omba msaada ..anyway AVN maana yake ni Award verification Number ...bado una ukakasi
👍
Wewe ndio huijui AVN wataalam wanaijua acha kudandia mambo kama hujaelewa omba msaada ..anyway AVN maana yake ni Award verification Number ...bado una ukakasi?!
Nawasalimu Nyote
Nimekuwa na changamoto ya kupata AVN nilihitimu Diploma 2015...nikafanya hatua zote za online za kuiomba AVN nikafika mpaka NACTE wakaagiza chuo kiandike barua ya kuomba kufunguliwa mfumo waingize matokeo yangu sasa ni wiki ya tatu inaenda ya nne nikipiga simu chuoni...
Kulingana na hiyo attachment uliyoituma hapo...kuna watuwaliohitim diploma kuanzia 2015..wao walishaanza kutumia Mtaala mpya na kulianzishwa kitu kinaitwa NTA levels...hivyo wao hulipia 10 ila wale waliosoma nyuma ya hapo...inaitwa Non NTA ...20 inahusika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.