Recent content by Steven Bicko

  1. S

    Alphonce Mawazo akabidhi kata ya Sombetini rasmi kwa Ally Bananga

    Hili ni Jembe letu tunalikubali kanda ya Ziwa ameizima CCM!
  2. S

    Wagombea wa udiwani - kanda ya kaskazini hawa hapa

    Mapambano mwanzo mwisho akuna kurudi nyuma.
  3. S

    Mtaji wa mwisho mwisho wa Ccm ktk picha

    Mgonjwa yuko icu siku zinahesabika
  4. S

    Mtaji wa mwisho mwisho wa Ccm ktk picha

    Tutawahukumu kwenye boksi la kura ww tulia kamanda
  5. S

    Mtaji wa mwisho mwisho wa Ccm ktk picha

    Ni kweli kamanda ndicho kinachowaumiza kichwa mpaka wamemnunua Zitto hili awanusuru
  6. S

    Mtaji wa mwisho mwisho wa Ccm ktk picha

    Hakika mwisho umefika ndio maana awataki kuandikisha daftari jipya la wapiga kura maa siku ya hukumu imefika
  7. S

    Mtaji wa mwisho mwisho wa Ccm ktk picha

    Tehtehtehtehteteh
  8. S

    Kamati Tendaji Wilaya Arusha imempitisha Ally Bananga kuwa mgombea Rasmi wa Udiwani kata ya Sombetin

    Nimeipenda hiyo tulianza na Mungu tutaendelea na Mungu tutamaliza na Mungu.
  9. S

    CCM Arusha wameanza kampeni kabla ya muda wamegeuka popo usiku kucha kusumbua watu kata ya Sombetini

    POLISICCM awawezi wazuia jembe dawa ni kuwapa kibano mkicheka na nyani mtavuna mabua
  10. S

    CCM Arusha wameanza kampeni kabla ya muda wamegeuka popo usiku kucha kusumbua watu kata ya Sombetini

    Wang'oeni kucha waache upuuzi wa kufanya kampeni kabla ya tar 16
  11. S

    Chadema Arusha yatangaza form za kugombea nafasi ya udiwani kata ya Sombetini

    Big up sana mpera mpera mpaka kieleweke moja bila watakimbia wote
Back
Top Bottom