Roho mbaya tu hili kabila sijui tumelitolea wapi, yaani umekaa ukatafakari labda kwann kwa miaka 3 hakuna jambo la maendeleo mlilotekeleza ukaona mangi kuuza pombe ndio sababu.
Unajua hata kama ni shabiki au umeajiriwa na chama/taasisi kuna vingine unapaswa utumie akili zako japo za utotoni km sa sasa wanazo wenyewe, kweli hujaelewa alichokizungumza hapo?
Nashukuru umejibu kitaalam zaidi, kwani inagharimu bilioni ngapi kuzuia isitokee hata mara moja! Kwa nn wenzetu wanaweza ni kwa ajili ya pesa au kujali wananchi pamoja na kuogopa kuwajibishwa?
Unajua tatizo sisi watanzania tunawahi kuizoea shida that's why tunaendelea kupata umeme wa mgao na serikali haijigusi coz inawajua watu wake, kweli kupata maji yenye tope masaa kadhaa inabidi unyamaze!
Unajua tatizo sisi watanzania tunawahi kuizoea shida that's why tunaendelea kupata umeme wa...
Angekuwa na akili alipozungumza ule upuuzi wa kumpeleka lissu mahakamani angenyamaza sababu sasa kila mmoja amemjua alivyona upungufu wa akili, maigizo huwa ni kipaji sio yeyote tu na njaa njaa zake kumfurahisha mkulu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.