Recent content by Stephen510

  1. Stephen510

    Rafiki wa kike

    Habari, natafuta Rafiki wa kike awe kawaida tu kikubwa ajue kujishughurisha, itapendeza zaidi akiwa katavi-mpanda au mkoa wa karibu.
  2. Stephen510

    Natafuta rafiki wa kike

    Hello JF members, natafuta Rafiki wa kike ambae tunaweza kuyajenga (maisha) Mwenye sifa hizi; -Awe na nidhamu mwenye kujielewa -Awe Mkristo itapendeza zaidi Mkatoliki -Umri 20 - 26 -Ambaye yuko huru, na pia sio muoga wa kutembea mkoa wowote ule -Anae jua kutafuta, tutafute wote - Elimu kuanzia...
  3. Stephen510

    Makosa ya Rais Magufuli wakati mwingine unashindwa hata kumhurumia, the Man is So naive!

    Katika nchi za Afrika mashariki Tz ni ya pili kutoka mwisho kupata maambukizi hayo na ya mwisho Ni Uganda, Ni vip Tz imesambaza virusi hivyo kwa majirani? Kila nchi ina mikakati yake ya kujilinda. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom