Recent content by Stephanohenry

  1. Stephanohenry

    Kenya vs Tanzania: Katiba ya Kenya inaruhusu Mgombea Binafsi wa Urais na Mtu kuhoji Uchaguzi huo huku Katiba ya Tanzania ikipinga

    Naomba kuuliza swala moja, kuhusu ibara ya 30(5) an ibara ya 64(5) ya katiba Tanzania hazileti mkangamanyo baina ya ubora wa katiba an uhuru wa bunge. Japo litakua nje ya mama Naomi's unisaidie katika hili
  2. Stephanohenry

    Kobe Bryant dies in a plane crash

    Rest easy Briant
  3. Stephanohenry

    Maseneta 100 wa Marekani waapishwa kama Baraza la mahakama litakaloshughulikia kesi inayomkabili Rais Donald Trump

    Democracy na maendeleo ya nchi inahitaji watu wenye msimamo... mimi sio mUS lakini namuunga mkono Nansi pelosi laiti Tanzania tungepata wanasiasa jasiri wanaojali masilahi na maendeleo ya kisiasa, na kijamii, na yote huleta maendeleo ya kiuchumi. Hakuna maendeleo pasipokua na uwazi.
  4. Stephanohenry

    Mashtaka yanayomkabili Donald Trump yatapelekwa mbele ya Bunge la Seneti

    Hili swala halina utofauti na nchi kama Tanzania ambapo inakua ngumu kwa bunge, mahakama na mtu mmoja kushtaki rahisi aliye madakani hata ukiangalia kwa mujibu wa katiba rahisi amepewa nguvu kubwa katika nchi na utawala kiujumla. Ni wazi kwamba Donald Trump ni raisi mwenye shutma nyingi zaidi...
  5. Stephanohenry

    Ushahidi wa Serikali kuingilia Mahakama: Jaji athibitisha jinsi viongozi wa Serikali wanavyoingilia hukumu kuwaumiza upinzani nchini

    Haki Haki na uadilifu, ukweli na uwazi, ujasiri pia ujenga maendeleo na uhadilifu kwa maendeleo ya nchi.
Back
Top Bottom