Recent content by steph felix

  1. steph felix

    MSAADA: Kufungua akaunti ya Benki

    Mimi nimefungua nikiwa na namba ya NIDA tu
  2. steph felix

    4 Bedrooms House

    Noted mzee, jambo njema sana hilo. Sikuliwaza kabisa
  3. steph felix

    Kwa ramani hii, turekebishe kipi?

    Vyoo vitakua vingi ndani, itabidi cha wapitaji kiwepo nje tu
  4. steph felix

    Kwa ramani hii, turekebishe kipi?

    Hahahaha, kwamba privacy ndio kitu cha kwanza
  5. steph felix

    4 Bedrooms House

    Wadau mnaweza toa maoni yenu kuhusu ramani hii.
  6. steph felix

    3 Bedroom House, toa changamoto!

    Hapa vipi sahivi?
  7. steph felix

    Kwa ramani hii, turekebishe kipi?

    Mawazo mazuri sana, ila tunaweza amisha hiyo public toilet ikawa ile ya master bedroom, halafu mpangilio wa vyumba ukabadilishwa.[emoji1303]
  8. steph felix

    Kwa ramani hii, turekebishe kipi?

    Nimeipenda hii idea. Nitaedit ikae hivyo
  9. steph felix

    3 Bedroom House, toa changamoto!

    Noted, ngoja nione tunaiwekaje sawa.
  10. steph felix

    3 Bedroom House, toa changamoto!

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  11. steph felix

    3 Bedroom House, toa changamoto!

    Hili la public toilet safi sana, ni wazo zuri. Ila prayer room ni kukosekana kwa nafasi ya kutosha
  12. steph felix

    Kwa ramani hii, turekebishe kipi?

    Ni Bora kuweka public toilet jirani na Master bedroom halafu vyumba vingine vifate?
  13. steph felix

    3 Bedroom House, toa changamoto!

    Nimejaribu na mimi kwa kutumia archicad, mnaweza toa maoni pia. Samahani mwanzilishi mada kwa kuvamia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
  14. steph felix

    3 Bedroom House, toa changamoto!

    Mdau hii software inaitwaje?
Back
Top Bottom