Habari zenu wapendwa,
Naomba kujua kuhusu biashara ya chikichi kavu na soko lake kwa ujumla na changamoto zilizopo kwenye biashara hiyo kwa mwenye ufahamu
Aksanteni!!
Nina mdogo wangu amemaliza Form 4 mwaka jana amepata alama D tatu za kiswahili,English na History naomba ushauri namna ya kumuendeleza kimasomo kwa mnavyofahamu ndugu zangu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.