Recent content by steli

  1. S

    Ni Taasisi gani zinakopesha vikundi vya Wakulima

    sure sure hawana tofauti na wale wanajiita Namaingo
  2. S

    Ni Taasisi gani zinakopesha vikundi vya Wakulima

    nilifatilia nikagundua yaweza kuwa ni ubabaishaji maana wanataka utoe kiingilio milioni moja (hii niregistration fee only) halafu ndio utapatiwa mkopo kulingana na unachohitaji kulima huku wakikusimamia mpaka mavuno na masoko. Anyway sina hakika nao kwa kweli maana hiyo fee ni kubwa sana kwa...
  3. S

    Kiwanja kinauzwa

    sasa kilometre 2.5 toka Morogoro roadhakuna umeme au umekosea hizo km??
  4. S

    Ni Taasisi gani zinakopesha vikundi vya Wakulima

    Jana nilikuwa naangalia kipindi cha Wakilisha EATV saa 3 na nusu usiku nikaona taasisi inasaidia vijana mikopo ya kilimo na kukusimamia mpaka mavuno na masoko kisha unawalipa 20 % ya mauzo yako yote huyo dada anaitwa Juith mwenye hiyo kampuni lakini jina la kampuni sikufanikiwa kulisikia mwenye...
Back
Top Bottom