Recent content by STD VII

  1. S

    Maandamano ya kuitaka SMZ iwarudishe viongozi wa kiislamu zanzibar

    huo ni ukweli wanapata madhambi makubwa, nafasi ilipatikana ya BMK lakini imetumiwa vibaya watu wakakimbia jukumu. huu ni udhalimu
  2. S

    Mbunge wa Mji Mkongwe kutoka CUF aomba msaada wa Baraza la Maaskofu

    ipo siku utakuja tambua kwamba hao siyo magaidi bali ni mfumo ndiyo unawatesa kwa kudai serkali tatu. wametimiza wajibu wao. kosa limefanywa na waliokimbia BMK hata 6 akapata nafasi ya kupitisha kura za maruhani. laiti wasingetoka kila mjumbe akasimama alipo kwa sauti kuu MWONGOZO × 130 hicho...
  3. S

    Chikawe akanusha kuhusu watuhumiwa kulawitiwa

    natafakari kumbe ccm "hawaibi" kura kwani kila kona wanaungwa mkono. udhalimu ni udhalimu tu huwezi kuilaani serikali kwa kumbambika Rwakatare ugaidi au kwa kumuua Mvungi, Mwangosi na wengine kama hao lakini linapokuja swala la Masheikh/Waislam unaipongeza serikali kwa kuwasulubu. huwezi...
  4. S

    Mbunge wa Mji Mkongwe kutoka CUF aomba msaada wa Baraza la Maaskofu

    tofauti za kidini zonafanya mtukanane, lini mtajenga hoja za kiuadilifu hasa inapotokea haki za raia zina kandamizwa na serikali bila kujali anayepondwa ni mkristo au muislam. hii migawanyiko ya udini ndiyo inayotumiwa na watawala, ajabu opposition wanaonekana kuunga mkono uovu wa serikali kwa...
  5. S

    Mjadala: Wageni Rasmi Professor Benson Bana, Kinana, Wilbrod Slaa & Magdalena Sakaya

    wananchi tunasubiri kwa hamu kutoka kwa watafiti, makatibu wakuu ombi;- wasizungumzie mambo ya vyama vyao waongelee kwa ujumla wake. kinachotakiwa na watanzania
  6. S

    Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

    hizo ni sera zao yeyote kati yao akifanya ni wao na chama chao, je? nyote mmekubaliana na kupongeza...
  7. S

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    waungwana ccm siku zote inacheza na akili za watu, inagawa watu katika makundi kisiasa na kidini na inafanikiwa itafutwe njia ya watu kuacha lengo kuu na kufuata lengo mahsusi
  8. S

    Lipumba Arekodiwa Kwenye Video Akihamasisha Udini Msikitini

    uchaguzi wa 2015 utakua na vituko sana
  9. S

    Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

    kila siku waethiopia wanapakiwa kwenye makontena wakiwa njiani kwenda SA wanakufa kwa kukosa hewa nani anawalazisha kwenda utumwani
  10. S

    Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

    kila siku inapozungumzwa siasa inaletwa dini kwa mtazamo ni vigumu sana kuwatoa CCM katika utawala
Back
Top Bottom