Recent content by State Propaganda

  1. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, picha hii ya mfungwa aliyevaa hereni kutoka gereza la UKONGA ni halisi?

    AI AI AI AI AI AI 10000000000%
  2. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania Bei mpya za Mafuta mwezi Mei zatangazwa, Petroli yazidi kupanda hadi 4115, Diseli 4248

    Haya maneno ni kama unajiambia wewe na nafsi yako ili kujifariji mkuu. Kwani ni nani aliyesema kuwa dunia itafika mwisho; kwamba maisha hayataendelea??
  3. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kuwepo kwa vibanda vya kusambaza kondomu karibu na mazingira ya shule za msingi?

    Ukiona hicho kibanda chukua taadhari hayo maeneo (kuna uwezekanao maambukizi ya VVU yapo juu sana).
  4. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania NHC waombeni msamaha Watanzania walio wengi kwa kuwadanganya

    Hayo wasema wewe na hayakuwa kwenye mpango.
  5. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania NHC waombeni msamaha Watanzania walio wengi kwa kuwadanganya

    Inachoumiza zaidi hizi nyumba ni za serikali ambazo zimejengwa na NHC kutumia kodi zetu, lakini gharama zake nafuu hata za zile Hamidu City Park kule Kigamboni
  6. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania NHC waombeni msamaha Watanzania walio wengi kwa kuwadanganya

    Kuna jambo halipo sawa kabisa. Hizo bei sio 'realistic' kabisa. Samabamba na hilo, hayo mabadiliko ya bei ya awali wakati mradi unaanza kutoka TZS 50-200 Millions to TZS 400 Mil up to 1 Billion ni kwa maelekezo au manufaha ya nani????. Tunaitaka serikali ije itoe ufafanuzi?
  7. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania NHC waombeni msamaha Watanzania walio wengi kwa kuwadanganya

    Tarehe 2 Septemba 2022, aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemia Mchechu alisema yafuatayo wakati akiwakilisha mipango waliyonayo NHC kwa wadau wa Sekta ya Milki Nchini ambapo SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limesema hivi karibuni linatarajia kuanza ujenzi wa 'nyumba za...
  8. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania BASATA: MC na DJ mtakiwa kujisajili na kuwa na kibali hai ifikapo 31 Januari, 2026

    Hatimaye nao wamefikiwa
  9. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania Kanisa la KKKT Makete lamzawadia Rais Samia Tuzo ya Amani na Umoja

    KKKT ni ma booty leakers (mtanisamehe)
  10. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Taasisi ya Kimataifa - Index On Censorship (IoC) yatoa majina 10 ya wanaowania Tuzo ya Dikteta wa mwaka (Tyrant of Year 2025)

    Tunashikiri vipi kumpigia kura Amin mama kuhakikisha anashinda ??
  11. State Propaganda

    JamiiForums Tanzania Aanguka akiliwahi lori la kampeni za CCM Mbeya

    Kuna wengine tena majuzi walipata ajali mmoja akafariki
Back
Top Bottom