Haya maneno ni kama unajiambia wewe na nafsi yako ili kujifariji mkuu. Kwani ni nani aliyesema kuwa dunia itafika mwisho; kwamba maisha hayataendelea??
Inachoumiza zaidi hizi nyumba ni za serikali ambazo zimejengwa na NHC kutumia kodi zetu, lakini gharama zake nafuu hata za zile Hamidu City Park kule Kigamboni
Kuna jambo halipo sawa kabisa.
Hizo bei sio 'realistic' kabisa.
Samabamba na hilo, hayo mabadiliko ya bei ya awali wakati mradi unaanza kutoka TZS 50-200 Millions to TZS 400 Mil up to 1 Billion ni kwa maelekezo au manufaha ya nani????.
Tunaitaka serikali ije itoe ufafanuzi?
Tarehe 2 Septemba 2022, aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemia Mchechu alisema yafuatayo wakati akiwakilisha mipango waliyonayo NHC kwa wadau wa Sekta ya Milki Nchini ambapo
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC) limesema hivi karibuni linatarajia kuanza ujenzi wa 'nyumba za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.