Starlink Tanzania Ltd. Set to Enter the Telecommunications Sector – A Strategic Call for Investment
In response to growing demand for reliable and affordable internet services across the country, Starlink Tanzania Ltd., a proud local company, is making a bold move into the telecommunications...
Kampuni ya burudani na masoko ya Starlink Tanzania Limited imekanusha vikali uwapo wa uhusiano wowote na Kampuni ya Starlink Satellite Tanzania Limited inayotoa huduma ya intaneti inayomilikiwa na SpaceX.
Starlink Tanzania Ltd ilisajiliwa Aprili, 2019 na kumilikiwa kikamilifu na Watanzania...
Kasome Companies Act, 2002 (Cap. 212) of Tanzania,Section 30(1).Alafu niambie kama unaweza kusajili kampuni inayofanana jina na Azam uiite Azam mboga kama itakubaliwa.
Awali ya yote bwana Musk alitakiwa awe na kampuni ambayo Ina public shares Yani kampuni yake iwe listed Dse,Alafu awe na physical address ili utatuzi wa changamoto za mitambo yao ipatiwe ufumbuzi mapema pindi zinapotokea,na pia atoe ajira kwa asilimia kadhaa Kwa watanzania.(Wasiwe ni wazungu...
Lakini pia Starlink Satellite Tanzania Ltd haiwezi kupewa leseni kwani ipo kampuni nyingine yenye brand kubwa inayotumia jina Starlink Tanzania Ltd na imesajiliwa tokea 2019 na imefanya KAZI na wasanii wakubwa kama Mimi mars,Eric omondi,mpoki,mc pilipili,Roza ree.Ni ngumu kupata kibali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.