Wanandugu,
Nashangaa sana yanayotokea kwenye nchi yangu sasa hivyi...Viongozi wamekuwa sio wale tena wanaoshauriana kabla jambo halijafanyika.
Sasa hivyi unaweza kuona katibu wa wizara flani anafanya jambo baadae anakuja waziri analipinga...Sasa inakuwaje au kuna mtu yuko sehemu ananyanyua waya...
Sikujua Kama Kwaya Nayo si jumuiya ya kanisa kumbe nayo ilitakiwa tukaisajili kwa msajili....Ila kweli tunaelekea Pabaya....Hii vita haitamuacha mtu salama....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.