Napenda kuwapongeza ndg zangu kwa michango na mawazo yenu mazuri kuhusu gubiko kubwa kwa watanzania, mengi mazuri yamesemwa bungeni na wabunge with mahiri hakika ujumbe umefika spika mwenyewe anajua ingawa anajitoa ufahamu ni wazi kuwa pesa iliyogawanywa kwenye viroba na mabox ndio wao...
Serikali yetu lazima iwe serious na hasa kwa tukio hili linaloendelea sasa la sakata la escrow bungeni na kusahau hili la serikali za mitaa hivi kama dola yenyewe haipo serious je wananchi watakuwa serios
ikumbukwe leo ni mwisho wa kujiandikisha katika uchaguzi wa serikali za mitaa lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.