Recent content by Sr.M'HINDAKILI.GES

  1. Sr.M'HINDAKILI.GES

    Kinana na Nape waonja joto ya jiwe Bunda

    ukubwa wa pua si wingi wa kamasi
  2. Sr.M'HINDAKILI.GES

    CHADEMA, CUF na NCCR kujiunga kuiondoa madarakani CCM

    Siono haja ya kuungana Kwani wakiungana wengine wapo pale kwa kudhofisha wapinzani.Watanzania sasa hivi ni waelewa kila mtu afe kivyake but bungeni waungane kutetea udhalimu lakini kwenye chaguz mimi simwamini cuf na Nccr wale hawasomeki
  3. Sr.M'HINDAKILI.GES

    Kuingia Bungeni kwa Askari polisi wa Ndugai, kanuni na masharti ya bunge yalikiukwa

    Kibabu umezeka vibaya nakuomba uwe mzalendo usishabikie maovu dunia itakushangaa sana kwani hata mtoto mdogo anayaona hayo wewe huoni kama ni unevu hata kama wewew ni mwana CCM angalia masilai wa watanzania kwanza.Jambo la askali wale pale bugeni ni kulinda AMANI y WABUNGE NA UKUMBI WA BUNGE SIO...
  4. Sr.M'HINDAKILI.GES

    Mbowe atolewa nje ya bunge

    Ooovyo! chukua chako Mapema (CCM) kilichotokea Bungeni ni aibu ya naibu spika na serikali yake kukosa staha ya kuongoza Bunge na kusikiliza hoja za wapinzani.Oovyo mtu mzima hovyooo mbaya hatari aibu shida ziro
  5. Sr.M'HINDAKILI.GES

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    Serikali ilishasema WAPIGWE mbona mnashangaa nini kipya? ni utekelezaji tu
  6. Sr.M'HINDAKILI.GES

    Rais wa awamu ya 5 ni lazima atoke nje ya CCM na ndani ya CHADEMA

    we wasema mwenye macho haambiwi Tazama subir 2015. pole sana
  7. Sr.M'HINDAKILI.GES

    Mahakama ya Kisutu yamwachia huru mtuhumiwa wa mateso ya Dr. Ulimboka

    Kuna kila dalili ya dola kutumika kwenye sakata hilio!
  8. Sr.M'HINDAKILI.GES

    Kwa nini CCM ikihofie CHADEMA?

    Tulianza na MUNGU tutamaliza na MUNGU tuombe sana jinamizi ccm tulitoe kabisa kwa pamoja tunaweza NGUVU y UMMA NI NGUVU YA MUNGU.
Back
Top Bottom