Recent content by Squad Sembe

  1. S

    JamiiForums Tanzania Sherehe za CCM Dodoma Zaingia doa, Wang'oa bendera ya CHADEMA, Aden Rage ashuhudia

    Mbona mshikaji yuko sahihi. jamaa katoa posti ya kingereza tena katumia misamiati migumu, yeye alichofanya ni kumuonesha kuwa watu wanajua alichokiandika hivyo asidhani yeye ndo mjanja wa lugha humu jf.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    Yani mh. uko sawa kabisa. Washabiki wengi wanaounga mkono uongozi wa cdm ni wale wanywa gongo na wavuta bangi they dont think about future. Hao ni wale wanaokipenda chama hata kama kioafanya vibaya. Cdm wamesahau kuwa baadhi ya majimbo 2010 waliyapata kwa 7bu ccm walikuwa na makundi...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    KWELI MKUU. TENA MIMI NINAMSHAURI ZZK HATA KAMA ATAWASHINDA KWENYE BARAZA KUU AJITOE KWA HIARI YAKE CHADEMA MAANA HALI ILIVYO NI NGUMU. Labda kama wanachama wote wa cdm ni waelewa wanatakiwa wamuondoe mbowe, slaa na kibaraka wao lissu chama kinaweza kutulia. Angalia wabunge viti maalum wengi ni...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Zitto ashinda pingamizi dhidi ya CHADEMA, sasa Baraza Kuu kuamua uanachama wake

    Hata wewe utakuwa mzembe wa kufikiri. Hivi unapozuia jambo fulani halafu ikatokea wale unaowazuia wakaleta utetezi wao ili lile unalozuia liendelee halafu mahakama ikakubaliana na wewe huo sio ushindi? Wote mzuiaji na watetezi wa jambo wametoa hoja zao kikatiba na mzuiaji akashinda huo tuuiteje...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Tuhuma dhidi ya Zitto kuhongwa magari: Nimrod Mkono akanusha!

    I am with you 100%. This and more is what they wanted to happen. Haya wanayoyafanya yataondoka na roho za watu. Mwisho wa siku kuna mmoja atakufa kwa presha waendelee tu kutajana siri zao.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Tuhuma dhidi ya Zitto kuhongwa magari: Nimrod Mkono akanusha!

    Unajua tatizo letu ni moja, huwa tunataka majibu yaje vile tunavyofikiria ndo maana ktk comment za wengi hawaamin majibu yaliyotolewa na nimrod mkono. Wengi walitaka aseme ni kweli kampa. Jaman kama wtz wenye kufikiri tusitake mambo yaende the way we think or want. Tunachotakiwa ni kuamini kile...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    So kina mbowe lissu na slaa wanataja mambo yaliyotokea 2013 tu na ya 2014?? Hivi mkoje?! wakisema kina lissu mambo ya 2009 ni sawa, akisema zzk ni kosa. Hii kali ya mwaka.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    HIVI UNATAKA AKANUSHE NINI WAKATI AMEHOJIWA NA KUELEZA KUWA HAKUNA KOSA KUPOKEA HELA KWA MTU YEYOTE. Maana yake amekubali kuwa ni kweli alipokea na ni kweli alikidanganya chama kuwa anakikopesha wakati waliotoa walitoa kwa ajili ya chama na sa kwa ajili ya mbowe. CHADEMA NAWASHANGAA SANA...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    We ni mjinga wa kufikiri. Kwani hayo anayoyasema zzk ndio yaliyosababisha kupanga mkakati wa kuondoa uongozi wa juu. Hakutaka hayo yajulikane kwa sababu ni mambo ya ndani ya chama. So mpango wote wa kumuondoa mbowe kwenye uenyekiti wa chama ni pamoja na kusafisha chama ili kuleta utendaji wa...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Dr.Slaa: Tuna nyaraka kutoka Halmashauri Kuu ya CCM ikiagiza polisi kushughulikia vyama vya upinzani

    Mi naona we ndo mbumbumbu maana unajidanganya kuwa huwa anafanya reseach hebu thibitisha kwa kutoa waraka mmoja waliosema cdm wameupata kisha wakawaonesha wtz mipango ya siri ya serikali ya ccm. Acha ushabiki wa kijinga usiokuwa na mantiki. Slaa amekosa sera hivyo ameamua kuzusha lingine jipya...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Dr.Slaa: Tuna nyaraka kutoka Halmashauri Kuu ya CCM ikiagiza polisi kushughulikia vyama vya upinzani

    Mbona nyaraka nyingi hawajatoa mpaka hizo za bomu kwenye mkutano wa cdm arusha? Kweli mi naona apimwe akili pamoja na wewe ambaye unamfagilia wakati hajawahi toa nyaraka yoyote ya kuthibitisha yote wanayoituhumu serikali. Kila siku tuna nyaraka kuzitoa wanashindwa. Wtz amkeni acheni kudanganywa...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Wabunge watatu wa CCM wauza unga wajisalimisha

    Hivi we hujui ukitaka kupata dili za maana ambazo utafanya utakavyo lazima uwe CCM? Mi mwenye nataka nikachukue kadi ili nile kuku kwa mrija ccm.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kuvaa Mlegezo Ni Fashion Au Uhuni?

    Dah!! Kiukweli WTZ tumekuwa wajinga sana na hasa vijana wa sasa. Tumekuwa na tabia ya kuiga mambo bila kujua chanzo chake. Kuvaa kata K kwa sasa ndo imekuwa fassion ya vijana. Kijana yeyote asipovaa mlegezo anaona kuwa atakuwa mshamba mbele ya vijana wa mjini. HUU NI UJINGA kutokujiamini na...
  14. S

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, tunataka kujua fedha zetu za ruzuku zinavyotumika

    Kwanini msiyatoe hayo mapato na matumizi kwenye vikao halali vya chama mpaka kila anayetaka aje ofisini!!?? Hapa kuna walakini.
Back
Top Bottom