Na mimi nina x trail ina mileage 170000km hua natumia castro 20w-50 .... je nipo sahihi kutumia oil hiyo au ndo niludi kwa full synthetic...sina user manual gari nilipata kwa mtu
Ok gari yangu nilikua naendesha root ndefu mara ghafla check engine ikawaka nikaenda kupima nikaambiwa iyo taa inasababishwa na vvti sensor...kwamba kunauwezekano oil haipiti baadhi ya sehemu kwenye engine..... ebu nifafanulie apoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana Jf naomba kupata uelewa kuhusu hizi rimu zipi ni imara na kunatofauti gani itatokea kwenye gari endapo utatoa sport rim na kuweka steel rim?
Msaada please
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.