Kunq mshenz ana pombe shop hapa mtaan kila nikiyapiga ananichomekea bili fake mpk elf 30..sass nikamwekea mtego..juz..nmeenda pale nikajifanya nimelewa..kumbe kila akinilietea naandika kweny notbook ya simu..jana yake nikaenda pale kachomeka bili ya elf 20..nikamwambia kuanzia leo ndo mwsho wa...
Kuna nini special sanaa mpk sis kuwa na muungano wetu na kudanganya kuwa unajulikana kimataifa wakat hakuna nchi nyingine yyte inaofuata huo muungano..huoni tunajidanganya wenyew kwa kuifaidisha nchi moja kwa jina la kuuita muungano?
Ila nyie kubaz ni ma last born..ni kulalamika tu ...kila mlichoanzisha hamkufanikiwa kufika mwsho...hadi mkpa anaamua kuwapa chuo basi japo mkiendeleze ..bado ni kulalamika tu na chuo ni kama hakipo ....hii dunia haiitaji excuses zenu za kipumbafu..tofaut na hapo mtashinda ndan na kweny vibaraza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.