Recent content by sputnik

  1. S

    JamiiForums Tanzania Akili bandia (AI) tunayo tumia sisi matumizi ya kawaida mbona kama wanaotumia zaidi wenzetu inatisha kabisa

    Kama wanaweeza kuzitumia kulitoa hilo maza hapo WH na wafanye hivyo
  2. S

    JamiiForums Tanzania Maadhimisho ya siku ya ziwa victoria ni aibu kwa CCM na viongozi wake kwa ujumla

    Duuh..acha basi mkuu...mi nipo hapa igoma near kabisa na nyamhongolo hapo nisijue kuwa nchemba alikuwa hapo?basi hawa watu washapotea kabisa kweny raman ya siasa...hamasa iko chini sanaa
  3. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni namna ipi nzuri ya kuishi na mwanamke anayependa kuelezea mambo yenu ya faragha kwa marafiki zake?

    We mchane mkeo mwambie mbona mazoea na huyo wakala yamevuka mpaka..ujifanye kama anakutaka iv.....nakuadi na urafik wao utaishia hapo
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Hapa Tanzania Matajiri Wengi Wakubwa Karibu Wote ni Waislamu? Je Dini ya Wakristo Inawanyonya Waumini Wake?

    Nyie mnaoletewa nyama za kondoo na waturuki ndo mnajibatiza matajiri?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kwa nini utahisi ngozi ya tumboni na Kifuani kuwasha unapoanza Kukimbia baada ya Kukaa muda mrefu bila Matizi?

    Vp na mm ninaefanya mazoez baada ya kumaliza kichwa kinaniuma + jicho moja kuona zigzag..na huwa nauchukia mwanga sanaa wa magari kama ni usiku..huwa inasababishwa na nin?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Je Diara Djigui pale Yanga yupo kwa ajili ya Clean sheet pekee?

    Baada ya kufungia yule mshika matunguli naona mnaenda kupigwa game mbili back to back ...mpk arud mtakuwa hoi..mtu anapewa cheo cha umeneja kumbe ni mganga wa timu
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kisa cha msanii Y-Dash na uchawi wa Igogo Mwanza

    Igoma the hood
  8. S

    JamiiForums Tanzania Ukifeli kwenye hili basi tegemea kupata watoto wasio na akili mingi

    Si ndo kama hivi tunahukumu kwamba kama amefeli kuendelea na shule ni kwamba hana akili
  9. S

    JamiiForums Tanzania Ukifeli kwenye hili basi tegemea kupata watoto wasio na akili mingi

    Kwa kwel..yule namuona kwenye maono ya kufanya biashara yuko vzur..ila ndo ivo shule ilimpita kushoto
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kisa cha msanii Y-Dash na uchawi wa Igogo Mwanza

    Kwenye kuoneq watu sijui ila mwenyew unajua hulka ya hawa askar wetu..alikuwa tu kambin hapo ila majiran alikuwa anaish nao poa tu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Ukifeli kwenye hili basi tegemea kupata watoto wasio na akili mingi

    Kwa hyo mnataka nambia niachane na huyu wa la saba B nnaetakq kwenda kuposa june?
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kisa cha msanii Y-Dash na uchawi wa Igogo Mwanza

    Hapo igogo kuna jamaa angu askar alikufa ile 2022 wakahusisha na afya ya akili ila nahis alifanyiwa mchezo...Igoma pako shwari kwa sasa
  13. S

    JamiiForums Tanzania Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Wakitrace simu na mawasiliano yakaonekana kuwa alishawasiliana n a hao killers hakuna sehem atachomokea regardless alikuwa kilimanjaro
  14. S

    JamiiForums Tanzania Wanne mbaroni kuhusiana na kesi ya James Temba

    Una akili sanaa..hapo hamna anaehusika...
Back
Top Bottom