Ya kuelekea Africon ndo yatakuwa mazur zaid...ndo maana wanalazimisha maridhiano cz kama hali itakuwa hiv..CAF itahamishia nch nyingne kutokana na usalama mdogo..nawahishi Mange na Sarungi waendelee kukaza hiv hiv..tushafikia pazuri
Hakuna mtanzania anafaidiq na hayo..sanasana ni hao walioko huko juu tu ndo wenye mahotel ya 5*kwa hyo tukose wote tu..si wameshajionoa wababe?acha iwe kama straight of hormuz
Hata wanaobeba baruti kiholela..juz maeneo ya sawa.. jamaa kaingia na begi lililokuwa na baruti kwa mama ntilie..kumbe alikuwa amekaa karbia na moto zililipuka..yeye kafarik pale pale na wengine sita kujeruhiwa vibaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.