Duuh..acha basi mkuu...mi nipo hapa igoma near kabisa na nyamhongolo hapo nisijue kuwa nchemba alikuwa hapo?basi hawa watu washapotea kabisa kweny raman ya siasa...hamasa iko chini sanaa
Vp na mm ninaefanya mazoez baada ya kumaliza kichwa kinaniuma + jicho moja kuona zigzag..na huwa nauchukia mwanga sanaa wa magari kama ni usiku..huwa inasababishwa na nin?
Baada ya kufungia yule mshika matunguli naona mnaenda kupigwa game mbili back to back ...mpk arud mtakuwa hoi..mtu anapewa cheo cha umeneja kumbe ni mganga wa timu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.