Recent content by sputnik

  1. S

    JamiiForums Tanzania Nini kilimsibu Idugunde na kuacha kuishabikia CCM kama enzi zile?

    Kipara kipya nae anasemaje?
  2. S

    JamiiForums Tanzania KERO MWAUWASA imekuwa jipu lisilotumbulika, Nyamagana - Mwanza ni mwezi sasa hatuna maji

    Bora hata igoma mgao upo ila si mkali ukilinganisha na hapo machinjion..kuna muda hadi machinjio yanasimama kwa ukosefu wa maji
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kuna furaha sana ya kunywa pombe na company ila majuto yake ni makubwa sana siku inayofuata

    Kunq mshenz ana pombe shop hapa mtaan kila nikiyapiga ananichomekea bili fake mpk elf 30..sass nikamwekea mtego..juz..nmeenda pale nikajifanya nimelewa..kumbe kila akinilietea naandika kweny notbook ya simu..jana yake nikaenda pale kachomeka bili ya elf 20..nikamwambia kuanzia leo ndo mwsho wa...
  4. S

    JamiiForums Tanzania BAKWATA wana ushwawishi na nguvu kubwa kuliko TEC katika siasa za nchi

    Bar kwata ni wala ubwabwa tu na kuswalisha kwenye mikutano ya ccm ..
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Hujawahi kuona muungano unavunjika...au unajitoa ufahamu?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Kuna nini special sanaa mpk sis kuwa na muungano wetu na kudanganya kuwa unajulikana kimataifa wakat hakuna nchi nyingine yyte inaofuata huo muungano..huoni tunajidanganya wenyew kwa kuifaidisha nchi moja kwa jina la kuuita muungano?
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    What if muungano ukivunjika..kuna compasation yyte kutoka hyo nchi?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kilichomponza mhadhiri ‘gaidi’ wa UDOM ni hiki hapa

    Sasa katika hizo aina za muungano ulizotaja..mbona huu wa kwetu hauingii popote?
  9. S

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Ukihitajika utaitwa
  10. S

    JamiiForums Tanzania Ofisi za Serikali zipo lakini simu hazipatikani: Kero kubwa kwa wananchi wa Tanzania

    Kuna hawa wajinga nssf..hata upige siku nzma hawashiki simu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Vijana wala kashata na urojo mmechezewa sanaa..kichwan weupe..mnawaza tu hapo down
  12. S

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Nyie mliokuwa mnapigwa miti na waarabu mna nini cha kutuambia?
  13. S

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Ila nyie kubaz ni ma last born..ni kulalamika tu ...kila mlichoanzisha hamkufanikiwa kufika mwsho...hadi mkpa anaamua kuwapa chuo basi japo mkiendeleze ..bado ni kulalamika tu na chuo ni kama hakipo ....hii dunia haiitaji excuses zenu za kipumbafu..tofaut na hapo mtashinda ndan na kweny vibaraza...
Back
Top Bottom