Mie siyo msomaji sana wa maandiko ya dini lakini nimewahi kusikia Yesu toka anatoka mbinguni ilikuwa ni lazima aje afe kama kafara ya utakaso wa dhambi za wanadamu, kwa hiyo swala la wayahudi kumuua sifikiri linafaa kuwahukumu kwalo kwa sababu kama alishushwa Israel tutegemeeje angetimiza hiyo...
Ndio soko lilivyo.Kwa mfano rahisi no kufananisha pick up za Toyota Hilux na Vox Wagon Amarok,hizi gari hazifanani hata kidogo kwa stability speed wala conformability, amarok ni zaidi ya gari! Lakini sokoni ukinunua hilux mbili ni bei ya amarok tatu,watanzania hawazinunui kwa wingi kwa ajili ya...
Mwenye kuamini aamini na asiyetaka aache lakini huo ni UONGO wa waziwazi,nilishakwenda kwenye kanisa la mchungaji huyo enzi za ubungo,kulitokea mtu aliyedai kamuua sokoine na waliahidi watamrudisha hadi Leo,Amina Chifupa naye hajarudi hadi kesho!!!! Kuna haja ya kuendelea kuamini drama hizo...
Internal weakness and failure! Huyu mganda mwehu kabisa,hayo Maneno aliyachagua kwa kuzingatia vigezo vipi? Jumuiya hadi shirikisho haliwezi kwenda popote bila Tanzania. Itakuwa ni sawa na gari bila breki,Kagame,Yoweri na Uhuru wote ni viongozi wenye jazba na ubinafsi,hawawezi kudumu na...
Huu ni uozo wa fikra mahali Fulani,kama Padre anaongoza binaadam wanaostahili kulindwa na serikali yao,na serikali haitimizi wajibu wake kwa wananchi unategemea hawa viongozi wawaambie nini waumini wao? Msikurupuke kuongea mkumbuke hawa viongozi wa dini wamelalamika sana kwa hii serikali kuhusu...
Ni msomi gani huyo mwehu? Yuko chuoni au chooni? sijaelewa vizuri,maana iko wazi sana wanachama wa CCM ndio wanaobebwa kwenye mafuso kwenda kupiga kelele kwenye mikutano baada ya hapo wanarudishwa na vizawadi vya kitoto wakati huo wanachama maskini wa CDM wanachangia chama! CCM ni chama cha...
Mwasisi wa Taifa hili aliwahi kuonya kwamba hatopendezwa kama chuo kikuu cha DSM kitatoa wasomi akina ndio bwana(yes sir) kwa kila jambo.Elimu lazima ikuweke huru vinginevyo inakuwa hakuna tofauti ya wasomi na mambumbumbu.Kinachoiua CCM ni kuendekeza makada waliojichokea kama Farijala,hawana...
Asingetoa tamko hakuna ambaye angemshangaa kwa sababu matamko yake yamekuwa dhaifu mno na yasiyotekelezeka.
Asingekatisha ziara pia isingekuwa ajabu kwa sababu sio mara ya kwanza.Hata hivyo nampongeza kwa uamuzi huo japo ziara imekwisha.
Huyu mwislamu dhaifu aliyelifikisha taifa hili hapa hawezi kuwa serious n tukio hili kamwe tena msitegemee kumuon anaahirisha safari toka kwa magaidi wenzie wakati alivyosikia hili bila shaka alipongezana na magaidi wenzie kwa kufanikisha mipango yao haramu. Watamshangaa sana akiaga anakuja...
Sasa kama unadhani(kwa upeo wako finyu) kwamba wanaoharibu utaratibu ni maaskofu unafikiri kwa nn Kikwete ameshindwa kuwadhibiti? kama ww tu umelibaini hilo huoni ni uzembe na udhaifu kwa kikwete mwenye kila idara za kijasusi kushindwa kujua hilo na kulidhibiti? kwa hayo unazidi kuonyesha ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.