Tunaishi katika dunia ambayo si lazima mtu afanye ngono ili aweze kuzaa. Maendeleo ya teknolojia kama vile In Vitro Fertilization (IVF), uchangiaji wa mayai (egg donation), na uchangiaji wa mbegu za kiume (sperm donation) yamebadilisha kwa kiwango kikubwa dhana ya ndoa na uzazi.
Kwa mtazamo wa...
Hivi ni kwanini Mtu akiamini kwamba Binadamu anaweza kupaa kama ndege anaonekana kuwa amechanganyikiwa, ILA mtu akiamini kwamba NYOKA anaweza kuongea wanasema hajachanganyikiwa bali yeye ni mkristo, au muislamu mtiifu.
Dini na Uchawi vyote kwa pamoja Chanzo chao ni kimoja.
Vyote vilianza kama ibada ndogondogo (small ritual practices) ambazo zilihusisha Imani juu Kiumbe aliyejuu ya Uwezo wa jamii ambaye iliaminika ndiye msababishi wa matukio yanayojitokeza kwenye mazingira wanayoishi wanajamii.
Baada ya...
Kwa wale wanaosema kwamba ushoga ukionekana ni jambo la kawaida utahamasisha vijana wa kiume kuwa mashoga zaidi na zaidi, hii siyo kweli.
Nchi ya Ufaransa iliondoa sheria za kuadhibu mapenzi ya jinsia moja mwaka 1791 wakati wa French Revolution, na tangu hapo suala hili halihesabiwi kama kosa...
Uchawi ni dhana potofu.
Ni vizuri watu wakajielimisha na kuacha upotoshaji.
Zamani watu walifanya matambiko wakiamini yatasaidia mvua kunyesha. Mvua zilinyesha si kwasababu tambiko lisababisha mvua kunyesha, kwani Mvua hunyesha kwa kufuata taratibu za kiasili (natural water cycle), hili lina...
Mimi si SHOGA mkuu. Hayo maelezo niloweka ni maelezo kutoka kwa wanazuoni wa ukristo wa kale, sina shaka kwamba wewe sio mwanazuoni.
Mbona hicho kifungu ulichokinukuu hakina neno USHOGA, au USAGAJI?
Hivi kwani mashoga wakiwa wanafanya ya kwao, wengine ambao siyo mashoga huwa wanaathirika vipi na vitendo vya mashoga?
Mfano: Mashoga wapo Nyumba A wanafanya ya kwao, watu wengine waliopo Nyumba B ambayo ipo zaidi ya kilomita 1,000 kutoka Nyumba A wanaathirika vipi?
Kuna hii article kwa ajili ya wale wanaotumia DINI kupinga ushoga: Why the Bible Does Not Condemn Homosexuality or Being Transgender
******
For centuries, people have been taught that the Bible outright condemns homosexuality or gender diversity. However, modern biblical scholarship, historical...
Jielimisheni wale mnaoamini katika imani potofu kama: JINI MAHABA, na POPOBAWA.
Pitieni hizi Peer Reviewed Article:
Checking your browser - reCAPTCHA
https://www.apa.org/pubs/journals/drm/
Mkipata Muda pia Angalieni hii documentary: https://youtu.be/Fui9YW4JYMg?si=_wTICcTyK2uJTJYn
Ndoa ni taasisi wakuu. Ni vema watu wanapokubaliana kutengeneza Taasisi ya Kifamilia wawe wana mizani inayokaribia kulingana kwenye kila angle ya kiuchumi na kijamii.
Halafu huwa nashangaa watu wenye akili timamu kabisa wanakubali vipi kusainishwa mikataba ya Ajabu, tena na mtu mmoja anayejiita...
Tupo hapa tulipo kama jamii iliyostaarabika ni kwasababu ya Secular Humanism na Logical Reasoning. Mchango wa Uislamu na Ukristo kwenye ustaarabu ni mdogo sana.
Galileo Galieli alitishiwa kuwawa na taasisi ya kidini ya kikatoliki.
Hitler aliuwa wayahudi kwasababu ya anti-Semitism.
Terrorism...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.