Kwa mtazamo wa kisayansi, ndoto ni matokeo ya shughuli za ubongo wakati wa usingizi, hasa katika hatua inayoitwa REM sleep (Rapid Eye Movement). Katika kipindi hiki, ubongo huwa na shughuli nyingi karibu sawa na hali ya mtu akiwa macho. Sayansi inaonyesha kuwa ndoto zinaweza kuhusiana na...
Misingi ya DINI zote ipo katika Ukabila (Tribal Beliefs) na kwakuwa Binadamu ni kiumbe kishindani (competitive) matokeo yake ni kwamba kila jamii yenye taratibu zake za kikabila hujiona bora kuliko jamii jirani yake, pia hujiona kuwa inastahili zaidi kumiliki rasilimali kwa ajili ya "Survival"...
Wanasiasa wanaingia makanisani na misikitini kuowaomba watanzania walifanyie maombi taifa la Tanzania wakati huo wameshaiba mabilioni ya fedha.
CAG: Mradi wa ujenzi wa Uwanja Arusha ulikadiriwa bilioni 187, mkataba ukasainiwa bilioni 338
Tunaishi katika dunia ambayo si lazima mtu afanye ngono ili aweze kuzaa. Maendeleo ya teknolojia kama vile In Vitro Fertilization (IVF), uchangiaji wa mayai (egg donation), na uchangiaji wa mbegu za kiume (sperm donation) yamebadilisha kwa kiwango kikubwa dhana ya ndoa na uzazi.
Kwa mtazamo wa...
Hivi ni kwanini Mtu akiamini kwamba Binadamu anaweza kupaa kama ndege anaonekana kuwa amechanganyikiwa, ILA mtu akiamini kwamba NYOKA anaweza kuongea wanasema hajachanganyikiwa bali yeye ni mkristo, au muislamu mtiifu.
Dini na Uchawi vyote kwa pamoja Chanzo chao ni kimoja.
Vyote vilianza kama ibada ndogondogo (small ritual practices) ambazo zilihusisha Imani juu Kiumbe aliyejuu ya Uwezo wa jamii ambaye iliaminika ndiye msababishi wa matukio yanayojitokeza kwenye mazingira wanayoishi wanajamii.
Baada ya...
Kwa wale wanaosema kwamba ushoga ukionekana ni jambo la kawaida utahamasisha vijana wa kiume kuwa mashoga zaidi na zaidi, hii siyo kweli.
Nchi ya Ufaransa iliondoa sheria za kuadhibu mapenzi ya jinsia moja mwaka 1791 wakati wa French Revolution, na tangu hapo suala hili halihesabiwi kama kosa...
Uchawi ni dhana potofu.
Ni vizuri watu wakajielimisha na kuacha upotoshaji.
Zamani watu walifanya matambiko wakiamini yatasaidia mvua kunyesha. Mvua zilinyesha si kwasababu tambiko lisababisha mvua kunyesha, kwani Mvua hunyesha kwa kufuata taratibu za kiasili (natural water cycle), hili lina...
Mimi si SHOGA mkuu. Hayo maelezo niloweka ni maelezo kutoka kwa wanazuoni wa ukristo wa kale, sina shaka kwamba wewe sio mwanazuoni.
Mbona hicho kifungu ulichokinukuu hakina neno USHOGA, au USAGAJI?
Hivi kwani mashoga wakiwa wanafanya ya kwao, wengine ambao siyo mashoga huwa wanaathirika vipi na vitendo vya mashoga?
Mfano: Mashoga wapo Nyumba A wanafanya ya kwao, watu wengine waliopo Nyumba B ambayo ipo zaidi ya kilomita 1,000 kutoka Nyumba A wanaathirika vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.