Binafsi nakubaliana kundi la 1 coz nimekutana na kundi hili sana. Mkuu, hawa jamaa wanafanya kampeni za chnichini lakin impact n kubwa kwa ccm watu wengi wanaoelezwa ubaya wa ccm na kundi hili na hasa umuhimu wa changes for sure ccm kwishne!
Ukweli ni kwamba umefika wakati wa mabadiliko, haijalishi mbunge au diwani aliyepo ku garantee kupendwa ccm ni kwamba cdm inaibuka zaidi sas kwa watz weng ispokua M4C iliamsha sana kupendwa cdm coz ukipita sehem nyingi tis cdm, kwenye mabasi au daladala safari haikwishi bila kutajwa cdm na uzee...
Yan wew umeingia Arusha na DAR EXPRESS ukalala ndani ya basi ndo unatoa comment eti bajeti za kiwi zmepungua, ungetembea kdogo ucngeandika hapa au vumbi kwako ni manukato?
Mh. Zitto hana jipya wala uzalendo wowote, hv kwanza yupooo au?? Obama akishaomba msamaha wa mauaji ya Lumumba what next for the Tanzanians? Mbona Zitto anashangaza? Atuambie kwanza ccm wamempa nn cha maana kiasi cha kua kimya sana hasa kwny issues za kuhujumiwa kwa cdm, leo hii anaibuka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.