Ukitaka jamii itekeleze jambo fulani ni lazima utafakari kwa kina na kujiridhisha kama jambo lenyewe linatekelezeka. La sivyo matamko mengi ya mambo yasiyotekelezeka huifanya jamii kuyadharau na kumdharau mtoa matamko
JPM anasubiri kuchukua uenyekiti wa Chama ndo Watatambua direction anayotaka kukipeleka chama na serikali. Alivyochagiliwa wengi walifikiri ni mtu wa business as usual. Huwa anamaanisha analolisema na kusimamia analoliamini na pia hufanya research ya kutosha kabla ya kutoa uamuzi. Na hapendi...
Kiuhalisia MD au CEO hawezi kutoa kazi kwa kampuni yoyote. Kuna tender board ndo inatoa kazi. Kwa hiyo ni ngumu sana kumuhusisha CEO directly but tatizo hapo ni conflict of interest ambayo takukuru wameshindwa kuthibu
Huwezi kuchukua hela kabla hujafanya kazi. Contracts zote huwa contractor analipwa kwa kazi aliyofanya. Hivyo hakuna sababu yoyote inayoweza kutolewa kwa kutoweza kukamilisha kazi. Waliolipa hizo fedha na waliolipwa wote wame wamefanya kosa la jinai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.