Kuna uzi ulikuwepo humu uliokuwa unazungumzia wanachama wa NSSF kujitoa lakini alikuja Pascal Mayalla akawaka sana kwa uchungu na kutetea uongozi wa NSSF kuwa hilo jambo ni uzushi na ikabidi uzi ukafutwa bila sababu za msingi (inanifanya niamini kuwa NSSF wameajiri watu wao kuja kuondoa bad news...
Hivi sirikali ishafanya evaluation ya majengo yake yaliopo Dar na kujua thamani yao?
Naming TBA (Tanzania Building Agency) wanaweza kupewa tenda ya kufanya commercial valuation ya haya majengo. Swali langu je majengo ya wizara na idara mbalimbali za serikali hapa Dar yanaweza kufikia kiasi gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.