inawezekana kwa mwezi mzima TFDA walikua wakiikagua sukari hiyo na kimsingi ikawa imeingia kihalali ila kwa serikali kuzima temper za wananchi ikabidi waseme wamekamata sukari iliyofichwa. lakini jambo la kujiuliza ni kwanini kibali cha ukaguzi wa sukari kimetoka may 7 siku ya jumamosi ambayo...
huu mtindo wa kucheza na akili za wananchi sio mzuri kabisa... najua ilikua ni mpango wa kupunguza temper za wananchi ili kuisafisha serikali.
nonsense
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.