Naomba kueleweshwa hapo wadau wa JF. Kwa maana nimeona baadhi ya taasisi watu hawaingii kazini siku ya ijumaa kuu.
Lakini kuna baadhi ya kampuni watu wanaingia kazini kama kawaida na hawalipwi stahiki zao.
Habari yako mpambanaji mwenzangu?. Karibu katika makala hii inayohusu kupigana vita ya kuyasaka mafanikio.
Labda kwa ufupi ningependa kukumbusha kuhusu Maisha. Wakati kila mtu ana namna yake ya Kuyaelezea maisha, kwangu mimi, Maisha ni kama vita. Usipojiandaa vema kupigana, maisha yatakupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.