Recent content by Space2026

  1. S

    JamiiForums Tanzania Magoda Junior awachana wazazi wanao somesha English Mediums kwa kufuata A+

    what you "see" is what you become... kwangu mimi swala sio kupata A.
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    yaan.. mradi tu ushindwe kujiamini. ila zama zimeshabadilika sana. maarifa yameongezeka na dunia inazidi kuwa kijiji so ujuza mtu kujitamba mtoto wa daslam born hiya hiya.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    na zamani zile nimekumbuka hata mtu akisafiri kwenda dar afu akarudi ma ma ma ma ma ma ma ma ma ma . si kwa kujikuta huko na kiswahili kinabadilika.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    wenyewe wanajiita watoto wa mjini kumbe kwao ni ufahari kuwa na wanaume wengi wakihusiana kiuasherati, wanakjiona fahari kujiita watoto wa mjini kumbe wanamaanisha machawa wazoefu na matapeli na ushoga. watu wanakuja hapo dar wanachukua exposure then wanaangalia fursa nchi nyingine wanaachwa...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    afadhali mtu mmoja kaongea hiki kitu nilikuwaga nashangaa sana like so what kama unezaliwa dar...... ni vichekesho
  6. S

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni nchi yoyote inayonunua figo Kwa bei nzuri nikauze figo yangu Moja, Maisha magumu sana kwangu

    usiuze figo utaishia kutapeliwa ukishalipwa hela yako ya figo moja ukachomwa sindano ya usingizi watatoa figo zote , ubongo, moyo, bandana. na kila kinachochukulika na habari inaishia hapo. jaribu namna nyingine ukimtanguliza Mungu na kuwa mvumilivu
  7. S

    JamiiForums Tanzania Aisee huyu dada wa Mgahawa amezidi sasa

    muoe
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa 18 to 29 hafai kwa ndoa kabisa

    sawa kabisa. natamani hili liwekwe kwenye katiba
  9. S

    JamiiForums Tanzania Tafuta mtu asiyekujua mlipe pesa akutukane bila sababu ni tiba kubwa sana

    huyu dada ni open book hata mambo yake mengine anayaweka hadharani kwa mimi ninavyojijua kama ningekuwa ndio yeye ningekufa nayo rohoni. kuhusu umbeya hapo ndo utaamua unataka kunusurika na shida uliyonayo au unaogopa wambeya. ila ni mtu akishakupa facts anajitoa sana. utashangaa tu anakuambia...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Tafuta mtu asiyekujua mlipe pesa akutukane bila sababu ni tiba kubwa sana

    kwa mimi mtu nisiyemjua hata akutukaneje maneno yake hayawezi kunigusa . mi kile nafanya nina mfahamu mtu ambaye tunafanya nae kazi ukitaka kupata honest views tena anaongeaga fact. hatukani sijui shenzy walaaaa. ila atakupa makavu na ukitoka hapo lazima ukajitathimini . tatizo lake hawezagi...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Jirani yangu anafuga nguruwe na ni mchafu wa kuzaliwa

    Dah sijui hata ufanyeje yaani. labda uzoee. Na kama havizoeleki nayo mtihani kweli kweli. au tu na wewe ufuge kama yeye maana kununua eneo lake imeshindikana. kama imani haikuzuii fuga na wewe haitaondoa harufu ila labda itakupa amani wakati wa mauzo
  12. S

    JamiiForums Tanzania Makosa ya Umri wa Miaka 20

    Makosa mawili. 1. kuolewa at 24years. 2. Kutokuwa na mahusiano binafsi na Mungu
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    aisee
Back
Top Bottom