yaan.. mradi tu ushindwe kujiamini. ila zama zimeshabadilika sana. maarifa yameongezeka na dunia inazidi kuwa kijiji so ujuza mtu kujitamba mtoto wa daslam born hiya hiya.
wenyewe wanajiita watoto wa mjini kumbe kwao ni ufahari kuwa na wanaume wengi wakihusiana kiuasherati, wanakjiona fahari kujiita watoto wa mjini kumbe wanamaanisha machawa wazoefu na matapeli na ushoga. watu wanakuja hapo dar wanachukua exposure then wanaangalia fursa nchi nyingine wanaachwa...
usiuze figo utaishia kutapeliwa ukishalipwa hela yako ya figo moja ukachomwa sindano ya usingizi watatoa figo zote , ubongo, moyo, bandana. na kila kinachochukulika na habari inaishia hapo. jaribu namna nyingine ukimtanguliza Mungu na kuwa mvumilivu
huyu dada ni open book hata mambo yake mengine anayaweka hadharani kwa mimi ninavyojijua kama ningekuwa ndio yeye ningekufa nayo rohoni. kuhusu umbeya hapo ndo utaamua unataka kunusurika na shida uliyonayo au unaogopa wambeya. ila ni mtu akishakupa facts anajitoa sana. utashangaa tu anakuambia...
kwa mimi mtu nisiyemjua hata akutukaneje maneno yake hayawezi kunigusa . mi kile nafanya nina mfahamu mtu ambaye tunafanya nae kazi ukitaka kupata honest views tena anaongeaga fact. hatukani sijui shenzy walaaaa. ila atakupa makavu na ukitoka hapo lazima ukajitathimini . tatizo lake hawezagi...
Dah sijui hata ufanyeje yaani. labda uzoee. Na kama havizoeleki nayo mtihani kweli kweli. au tu na wewe ufuge kama yeye maana kununua eneo lake imeshindikana. kama imani haikuzuii fuga na wewe haitaondoa harufu ila labda itakupa amani wakati wa mauzo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.