Recent content by SOWETO_MAN

  1. SOWETO_MAN

    Nauza bata mzinga

    Nyara ya serikali hyo masta, haipatikani bila maelezo na mihuri
  2. SOWETO_MAN

    Nauza bata mzinga

    Wako normal kabisa ni changamoto za camera ya simu tu mkuu
  3. SOWETO_MAN

    Nauza bata mzinga

    Daah hapana mkuu 😂😂
  4. SOWETO_MAN

    Nauza bata mzinga

    Habarini za muda huu wana jukwaa, mm ni mfugaji mdogo nikiwa najihusisha na ufugaji wa kuku pamoja na bata mzinga ila nimepata changamoto kidogo ya soko la bata mzinga ndio nikaona ni wakati sahihi wa mimi kuja kwenye jukwaa hili kutafuta mtu yoyote atakae hitaji kununua bata hawa, ninao madume...
  5. SOWETO_MAN

    Nauza iphone 7 plain used ,Dodoma

    Habarini za muda huu wana jukwaa, nauza iphone 7 plain kwa bei ambayo ipo in mint(excellent) conditions kabsa na ina sifa zifuatazo: Iphone 7 plain 32 Gb Ram 4 Battery 100% 280k price, fixed...mawasiliano ni haya 0621599120
  6. SOWETO_MAN

    Nauza mayai ya kienyeji Dodoma

    Habarini za muda huu wana jukwaa,,mhusika wa hii account nafanya biashara ya kuuza mayai ya kienyeji kwa bei ya rejareja kwa maana ya kwamba kwa sh.15,000/= tu wajipatia trei moja ya mayai, napatikana Dodoma na kwa mawasiliano zaidi piga 0621599120 karibuni sanaa!
  7. SOWETO_MAN

    Phone4Sale Nauza simu janja aina ya Redmi note 9

    Huku Dom hii niliichukua kwa 500K ...hyo bei nadhan ni ya Dar!
  8. SOWETO_MAN

    Phone4Sale Nauza simu janja aina ya Redmi note 9

    Habari za muda huu wana jukwaa? Niko na simu janja aina ya Redmi note 9 iliyo tumika miezi mitano ambayo ipo katika excellent conditions! Bei yake ni fixed kwa laki tatu na nusu tu (350,000/=). Napatikana Dodoma kwa mawasiliano zaidi piga 0763797102!
  9. SOWETO_MAN

    Phone4Sale Infinix hot 10 LITE inauzwa

    Mkuu mm Nilichukua Samsung galaxy grand prime+ huku Dom kwa 280K ,,,Dar nikaulizia kweny duka moja pale Msimbazi street wakanambia bei ya kuuzia ni 250K...Dom bei ya kuuzia ilikuwa hyo 280K!
  10. SOWETO_MAN

    Phone4Sale Infinix hot 10 LITE inauzwa

    Wapi huko mkuu?
  11. SOWETO_MAN

    Phone4Sale Infinix hot 10 LITE inauzwa

    Sehemu na sehemu mkuu....Kwa mfano Dar simu ni bei rahisi kulinganisha na zikifika huku mikoani bei zake ni tofauti kabsa
  12. SOWETO_MAN

    Phone4Sale Infinix hot 10 LITE inauzwa

    Bei mbona ipo hapo mkuu?...nilisema ni 280,000/=
  13. SOWETO_MAN

    Phone4Sale Infinix hot 10 LITE inauzwa

    Habarini muda huu wana jukwaa. Lengo na dhumuni la thread hii ni kuwajulisha wale wote walio na uhitaji wa kutumia simu janja aina ya Infinix hot 10 huu ndio wakati wao. Simu ni used kwa muda wa miezi minne na ipo katika excellent conditions. Specifications zake: Ram ya 4, Storage ya 32...
Back
Top Bottom