Recent content by Soweto2006

  1. Soweto2006

    Nimepona corona baada ya kuugua 14 days

    asanteni wakuu,kama niliyvosema jitahidi kuikwepa corona ni hatari sana
  2. Soweto2006

    Nimepona corona baada ya kuugua 14 days

    Leo kwa mara ya kwanza nahisi naishi duniani baada ya recovering ya corona. Nimeugua sana kwa week mbili, ombi langu kwenu wote kama una magonjwa kidogo kama BP, Sugar, TB, HIV nakadhalika, jitahidi kwa nguvu zote kuiepuka Covid19. Yaani hakikisha haikupati ndugu yangu
  3. Soweto2006

    Tume huru ya uchaguzi ndiyo dawa Tanzania

    Kwa mtazamo wangu tume huru inaweza kupatikana bila katiba mpya, namaanisha kwamba swala la katiba ni ngumu na CCM hawapo tayari bora mapambano yaelekezwe kwenye tume huru, linaonekana ni jambo dogo lakini litaleta mabadiliko makubwa.
  4. Soweto2006

    Tume huru ya uchaguzi ndiyo dawa Tanzania

    Tumefatilia suala la Ole Sabaya kwa undani. Alichaguliwa na mamlaka za teuzi zilizochaguliwa na wananchi. Tatizo lililopo Tanzania kwa sasa sio wakuu wa Mikoa au wilaya, tatizo ni kupata viongozi wanaostahili kuongoza nchi kwa mujibu wa uelewa wa Watanzania. Manake ni kwamba kabla hatujachagua...
  5. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    amekuwa empowered na NASA,na unajua NASA ni mali ya serikali,,unategemea atatajwa anatoka Africa?
  6. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    Musk at the Royal Society admissions day in London, July 2018 Born Elon Reeve Musk June 28, 1971 (age 49) Pretoria, South Africa Citizenship South Africa (1971–present) Canada (1971–present) United States (2002–present) Alma mater University of Pennsylvania (BS and BA; 1997)...
  7. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    kama kweli wewe heavy duty mechanic mkuu unatoboa,makampuni mengi yanaajiri mafundi kutoka zimambwe
  8. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    mkuu nafikiri kama unajishughulisha na madini chimba huko Tanzania njoo uza huku,lakini kuchimba huku ni ngumu
  9. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    Elion Musk anaheshimika sana na ni mzaliwa wa hapo Pretoria,tatizo unaweza kuona kuwa haeshimiki kwa sababu south Africa ina mabilionea wengi sana na nchi ina uchumi mkubwa,jambo moja nataka ujuwe ni kwamba kwa south Africa huwa hawana ile hali ya kuheshimu matajiri kama huko Tanzania,unaenda...
  10. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    mkuu kama nilivyosema mimi nadeal zaidi na business zangu ambazo hazina uhusiano wowote na namba 26, nimeamua kuja hapa kwa sababu nimeamua kusaidia kutoa information kwa watanzania wenzangu ambao wanahitaji,sasa ukiona nashindwa kujibu swali lako nikanyamaza naomba uheshimu kwa sababu hiyo ni...
  11. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    not easy mkuu,mambo ya madini yanasimamiwa na serikali,hiyo ndio maana ya uchumi wa kati kwa African countries
  12. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    unawafahamu?kesho tunaelekea Gaborone nitakuwa na Minja
  13. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    hahaaaa mkuu hao wanajifichaga kidogo
  14. Soweto2006

    Uliza swali lolote kuhusu Botswana au Afrika Kusini na nitakujibu

    karibu sana mkuu,mimi naahidi kukupa full information bila kupindisha kwa kuwa nimeishi miaka mingi na najua vichochoro vyote,jambo la muhimu kuwa na roho ngumu hakuna kujali wala kuogopa chochote,uoga wako umaskini wako
Back
Top Bottom