Recent content by SOWETO MAN

  1. SOWETO MAN

    Nauza mchuzi wa WINE(MVINYO) kwa bulk purchase only

    Habari wana jukwaa, Mimi ni mkulima na mfanya biashara mdogo wa zao la zabibu na mzalishaji pia wa wine..Nina habari njema kwa wale wanao hitaji kununua Mchuzi wa Wine(Mvinyo) halisi wa Dodoma wenye umri wa miezi mitano (5) sasa ..kwa kiwango cha kuanzia lita 500 na kuendelea kwani nauza kwa...
  2. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Hapana ndugu, hizi zipo pure kama zilivyo.
  3. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Ndio unaweza mlipa bila shida yoyote ile mkuu.
  4. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Shukran sanaa ndugu kwa ufafanuzi huu ulio shiba!. Faida yake kubwa mwilini ni kusaidia mmeng'enyo wa chakula lakini pia ni kiburudisho ikitumiwa kwa kiasi
  5. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Shukran sanaa ndugu kwa ufafanuzi huu ulio shiba!.
  6. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Lita yoyote ile ina percentage ya alcohol inayo fanana (uniform), kwa bidhaa yetu ina alcohol percentage ya 14 hivyo basi haijalishi iwe ni nusu lita au lita 5 zote zina alcohol percentage ya 14
  7. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Ooh nashukuru sana kwa mrejesho wako huu na kuhusu containers za glass bado hatujafikia matumizi ya packaging za kwenye chupa na hili swala lipo mbioni kutumia ili tuwe na variety ya containers mbalimbali
  8. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Kwetu bidhaa zote zina uniformity moja na ubora mmoja, hatuuzii watu makombo ama zilizo chakachuliwa!
  9. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Napatikana Chang'ombe Extension mkuu
  10. SOWETO MAN

    Nauza wine kutoka Dodoma kwa ujazo wa Lita 1, 3 na 5

    Unapata mkuu, naomba tutafutane kwa mawasiliano haya ya kwangu binafsi ya Whatsapp 0621599120, tupatane sehemu unapo hitaji kuletewa!
Back
Top Bottom