Habari wana jukwaa,
Mimi ni mkulima na mfanya biashara mdogo wa zao la zabibu na mzalishaji pia wa wine..Nina habari njema kwa wale wanao hitaji kununua Mchuzi wa Wine(Mvinyo) halisi wa Dodoma wenye umri wa miezi mitano (5) sasa ..kwa kiwango cha kuanzia lita 500 na kuendelea kwani nauza kwa...
Shukran sanaa ndugu kwa ufafanuzi huu ulio shiba!.
Faida yake kubwa mwilini ni kusaidia mmeng'enyo wa chakula lakini pia ni kiburudisho ikitumiwa kwa kiasi
Lita yoyote ile ina percentage ya alcohol inayo fanana (uniform), kwa bidhaa yetu ina alcohol percentage ya 14 hivyo basi haijalishi iwe ni nusu lita au lita 5 zote zina alcohol percentage ya 14
Ooh nashukuru sana kwa mrejesho wako huu na kuhusu containers za glass bado hatujafikia matumizi ya packaging za kwenye chupa na hili swala lipo mbioni kutumia ili tuwe na variety ya containers mbalimbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.