Recent content by soulmate410

  1. S

    Natafuta mume

    Natafuta mume kuanzia miaka 40 43 muislamu amejiajiri au muajiriwa mwenye hofu ya mungu H.I.V anaejali afya yake na anamuonekano mzuri Ambae anahivyo vigezo aje pm
  2. S

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Mwanaume H I V pos miaka 40-43 muonekano mzuri anaefanya kazi amejiajiri au ameajiriwa anahitajika pm
  3. S

    Ni rasmi sasa nimeingia kwenye penzi na binti wa duka langu, nichukue tahadhari zipi ili kuepuka shari kamili

    Binadamu mmekua ni wanyama sana utu umepotea kabisa ndio mana dunia imekua sehemu ya shida na mabalaa....yaani unawaza kuharibikiwa biashara yako na wala huwazi kwamba unamuharibia feauture mtoto wa watu kwakua yeye anamatarajio na ww unamuona kama toi ambalo halina maana ...siku akigundua...
  4. S

    Ni rasmi sasa nimeingia kwenye penzi na binti wa duka langu, nichukue tahadhari zipi ili kuepuka shari kamili

    Kumbuka dhambi ya zinaa ni deni unachokifanya kwa bint wa watu tena uku ukijisifia kabisa huna mpango nae...elewa kwamba na ww utazaa mtoto wa kike akija kulipa deni lako usije ukatafuta mchawi ukumbuke matukio yako ya haya machafu unayojigamvmba nayo leo kwa kitoto cha watu.....siwezi kumlaumu...
  5. S

    Nataka kuvunja ndoa yangu na ndoa ya baba mkwe, naomba ushauri wako kabla janga halijatokea

    Ninachotaka kukushauri ndg yangu zambi huwa ni deni lazima irudi kwenye kizazi chako au kwako mwenyewe binadam hua tunaogopa watu kuliko mungu bila kujua mungu ndio anehukumu maisha yetu na ndio alieyashikilia na mungu huwa hafichwi.....haya tunayoona yanatokea leo kwenye jamii ushoga usagaji ni...
  6. S

    Aliyeolewa akaachika miaka 7 sasa imepita ila hakupewa talaka, Anataka nimuoe. Je, naweza kumuoa?

    Ndoa ya kiislamu haivunjika kwa mwanaume kua mbali na mke wake miaka mingi na kisheria huyo mwanamke anamakosa yakuzini akiwa mke wa mtu...alichotakiwa kama alikua anaona hana mapenzi tena na huyo mwanaume basi awataarifu familia washenga au aliemuozesha kwakudai talaka na kama mwanaume hajaweza...
  7. S

    Tuelezane mambo ambayo ulidhani ni muhimu katika umri fulani ila sasa unaona hayana maana

    Asili ya dunia sio sehemu ya starehe ndio mana aso hili analile hamna ambae yupo comfotable katika haya maisha ya dunia....kabla yakukimbizana na vitu vya dunia kwakudhani ndio furaha yetu..tujiulize tuliletwa hapa duniani kwa ajili gani?? Kiillslamu tunaambiwa tumeletwa kwa ajili ya ibada na...
  8. S

    Sitaki hangaika na wanawake wa huku Duniani. Wale wa kule ni Wazuri na wote naanza nao mwenyewe

    Kwaio unadhani vyote vilivyoumbwa dunia viliumbwa bure ikiwa pamoja n ww yaani mama yako akuzae kwa tabu uje duniani ukute bahari mbingu mvua jua usiku mchana alf uishi unavyotaka ww kwamba hamna anaemiliki hii dunia na wala hamna sheria na ukifa ndio mwisho wa maisha yako inaingia akilini...
  9. S

    Sitaki hangaika na wanawake wa huku Duniani. Wale wa kule ni Wazuri na wote naanza nao mwenyewe

    Wanawake wa duniani nao kama walikua wacha mungu ambao watafaulu kupata pepo basi huko peponi watakua wapya mabikira na watakua wazuri kuliko wanawake wa peponi na kama waume zao nao wamejaaliwa kuipata pepo basi watakutanishwa tena peponi kama mke na mume tena japo mwanaume atakua na wanawake...
  10. S

    Ushauri: Shemeji yenu alinasa ujumbe na kugundua nimechepuka, nataka kurudisha mahusiano mahala pake

    Yaani ww juzi umesema unaswala swala 5 nikaona ni mtu mwema u aemtii Allah leo unaandika kataa ndoa hujui ndoa ni ibada pia tena iliyowekwa na Allah kwa jinsi ya maumbile yetu alivyotuumba...uoni ukisema kaa ndoa unampinga mola wako kwakule alichokiamlisha......matatizo hayakimbiwi mzee...
  11. S

    Mliozaa nje ya ndoa, wawezeshe mapema mlowazalisha ili damu zenu zisije kuteseka

    Sio haramu kitendo ndio haramu ila mtoto sio haramu..
  12. S

    Natafuta Mchumba/Mke

    Nikitaka kwenda inbox inatoka iv itakua ni nn wadau
  13. S

    Natafuta Mchumba/Mke

    Nimekuelewa lkn pm msg haiji tunafanyaje embu jaribu kuniandikia mm
  14. S

    Bado sijapata mwenza

    Umefunga pm
Back
Top Bottom