Recent content by soudymmanyema

  1. S

    Unasemaga asante baada ya tendo la ndoa?

    Watoto wa kanda ya ziwa kwa shukran nawap mia asee
  2. S

    Ushauri kuhusu wakimbizi

    Habar wana jf mimi nahitaj ushaur na utaratinu wa jinsi nitakavyomsaidia rafiki yangu mkimbizi ,kuna rafiki yangu alipata matatizo huko north sudan baada yakutokea machafuko wazaz wake waliuwawa ,hivyo ikambidi yeye akimbie ili ajinusuru maisha yake na kupata hifadhi katika kambi za wakimbizi...
  3. S

    Wahalifu wasiojulikana wataachwa mpaka lini?

    Nikwel kabisa yani ili jeshi sijui vijana wake wakoje maana jana kwene fiesta mwanza watu wamepigwa bila hatia yani vurugu mpaka basi ,jeshi la polisi linatumia force kubwa watu wamevunjwa mikono miguu yani tafran
  4. S

    Natafuta mume tuoane

    Kishasema et wa kumaliza nae maisha...vijna kuwen makini aaseee
Back
Top Bottom