Makufuli siyo dhaifu ameweza kutoa ahadi ya laptop kwa walimu na kusahau kuwa walimu wana madai yao madeni ya mishahara likizo,nyumba za walimu, wanafunzi kukosa madawati na kukaa chini ukosefu wa vyoo, nk.kweli magufuli ni DHAIFU sanaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.