Recent content by Sophie_scated

  1. S

    JamiiForums Tanzania Me and my story, the love life

    Sina papara ya kuolewa maana ningekwisha jibebea zamani, hapa natafuta mapenzi katika mtazamo tofauti ndio maana yameniponza na kuona kila kitu sicho
  2. S

    JamiiForums Tanzania Me and my story, the love life

    gfsonwin ushauri wako nimeupenda naona umenifahamu zaidi, hii nazungumzia upande wa kisaikolojia. Inawezekana labda ni chuki nimeiweka toka utotoni ya kutokuwa na wazazi wote wawili pamoja. Jengine ni upange wa kuangalia makosa zaidi, nitalifanyia kazi.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Me and my story, the love life

    Billie, nimekusoma yawezekana nikawa ninamapungufu yangu, lakini kwa sasa all I want is to be regain my love interest.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Me and my story, the love life

    Kongosho Kuolewa ni matukio sijalazimisha maana kama ni hivyo ningebeba hao jamaa ninaoona hatulingani just for the sake of marriage. Lakini nimependa ushauri wako
  5. S

    JamiiForums Tanzania Me and my story, the love life

    Freema Agyeman, asante ndugu kwa ushauiri, yawezekana kweli nina mapungufu yangu bali yaelekea haujanifahamu. Kuhama mji ni kwasababu sio niko desparate ya mume bali ni kuwa nimeloose interest na wanaume wa hapa mjini, nasema nikibalisha mazingira naweza regain the interest back.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Me and my story, the love life

    Pokola, bora wewe uliyepewa
  7. S

    JamiiForums Tanzania Me and my story, the love life

    Heshima kwenu wandugu, nimekuja na maada inanihusu mimi nitajaribu kuifafanua ili mpata uelewa zaidi na muweze kunipa ushauri wenu, najua wapo watako kebehi lakini mungu anajua nini nia yangu. Mimi ni msichana naenda in my 30s, makuaji yangu yamekuwa ya simanzi somehow maana baba tulikuwa...
Back
Top Bottom