Habari zenu wakuu
Nimesikia majina ya waliobahatika kupata viwanja yametoka na wameandika katika maelekezo kwamba watayatupia humu.
jee wakuu kuna alieiona hiyo list?
Muwe na siku njema:confused2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.