Huyu Kibonde angefaa sana kwenye michezo ya Bahati Nasibu, angekuwa analiwa mara nyingi sana. Huyu 'MC' nani kampa u-Radio Presenter? Kwa mwezi anaongea pointi 1 nayo kwa bahati sana na bila kujitambua. Kwa hiyo kwa mwaka ni chini ya pointi 12 labda asiende likizo. Msishangilie bali mwombeeni tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.